Author: Jamhuri
Ashikiliwa kwa tuhuma za kuhamasisha uhalifu kupitia kundi la whatsApp
Jeshi la Polisi nchini Tanzania lingependa kujulisha kuwa, lilimkamata na linaendelea kumshikilia Ambrose Leonce Dede, Mnyaturu, Mlinzi wa Kampuni ya Ulinzi ya African Safari na Mwanachama wa Chama cha Chadema kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha uhalifu nchini kupitia kundi…
TFS yaivutia China kwa mbinu za uhifadhi endelevu
Na Mwandishi Wetu Tanzania imeendelea kujijengea heshima kimataifa katika usimamizi endelevu wa misitu baada ya kupokea ujumbe wa wataalamu wa misitu kutoka Jimbo la Yunnan, nchini China, waliowasili nchini kwa ziara ya kikazi yenye lengo la kubadilishana uzoefu na utaalamu…
Miradi ya CSR ya migodi yawanufaisha wananchi Simiyu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu Serikali imesema itaendelea kusimamia kwa karibu utekelezaji wa miradi ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) inayotekelezwa na kampuni za uchimbaji madini nchini, ili kuhakikisha wananchi wanaoishi jirani na migodi wananufaika moja kwa moja na shughuli za…
Mwigulu Nchemba ni Waziri Mkuu wa 12 nchini
Rais Samia Suluhu Hassan leo amewasilisha bungeni jina la Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu mpya wa Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Spika Mussa Zungu alipokea hati ya uteuzi huo kutoka kwa Rais Samia na…
ACT Wazalendo : Watawala zingatieni viapo vyenu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NGOME ya Vijana Taifa ACT Wazalendo imewashauri watawala wanaopa kwa Kutumia vya vitabu vya dini kwa imani zao ambavyo pia vimeagiza kudumisha haki . Qur’an katika surat An-Nahl aya ya 16:90, Mungu anaagiza…





