Author: Jamhuri
Jamii haina budi kuachana na mila na desturi zenye madhara
Na WMJJWM-Dodoma Serikali inaendelea na juhudi za kuchochea maendeleo katika jamii kupitia afua mbalimbali ikiwemo utoaji wa elimu kuhusu masuala ya mila na desturi zinazofaa na zile zisizofaa kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo. Hayo yamebainishwa na Kaimu Mkurugenzi wa Idara…
Kongomano la uchumi Jumuishi kuelekea Dira 2050 kufanyika Septemba 18 Mbeya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya KIGODA Cha Uprofesa cha Mwalimu J.K. Nyerere katika Taaluma za Umajumui wa Afrika (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam) kwa kushirikiana na Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Binafsi (PPP Centre), limeandaa…
Uyovu wamkubali Dk Samia, kumpigia kura nyingi Oktoba 29
Dkt. Biteko kuifanya Uyovu kuwa kitovu cha biashara Bukombe Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema kuwa mgombe Urais kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiwezesha Kata ya Uyovu kimaendeleo hivyo…
Ilani ya Uchaguzi CCM inagusa maisha ya watu, wataichagua
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya MAKAMU MMwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema Watanzania wataichagua CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu kwa kuwa Ilani yake ya Uchaguzi inagusa maisha na maendeleo yao. Amesema hakuna chama…
THBUB yawanoa waandishi wa habari Arusha kuelekea Uchaguzi Mkuu
Na Zulfa Mfinanga,JamhuriMedia, Arusha Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imeendesha mafunzo maalumu kwa waandishi wa habari mkoani Arusha ikiwa ni sehemu ya mkakati wake wa kukuza na kulinda haki za binadamu pamoja na kuimarisha utawala bora…
Kawaida asema Samia, Mwinyi walitumia vizuri fedha za Covid
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Zanzibar Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana (UVCCM), Taifa, Mohamed Ali Kawaida amesema mgombea urais wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Hussein Mwinyi walitumia vizuri fedha za Covid kwa kujenga…