Author: Jamhuri
Simba yatinga nusu fainali
Timu ya Simba SC imefanikiwa kwenda Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya ushindi wa penalti 4-1 dhidi ya Al Masry ya Misri jioni ya leo Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam. Hiyo ilifuatia Simba kushinda…
RUWASA yasikia kilio cha wananchi Kwala, kero ya maji yabaki historia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mradi wa maji wa Kwala,uliogharimu zaidi ya bilioni 1.4 na kutekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) unakwenda kuwa mkombozi kuwaondolea changamoto ya ukosefu wa maji safi wakazi 6,407. Akizindua mradi…
Vitongoji 9000 kusambaziwa umeme mwaka 2025/2026- Kapinga
📌 Majimbo yaendelea kufaidika na mradi wa umeme wa Vitongoji 15. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dadoma Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha kazi ya kupeleka umeme kwenye Vijiji vyote Tanzania Bara…
Rais Mwinyi akutana na Naibu Waziri Mkuu wa Uingereza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameishukuru Serikali ya Uingereza kwa kuunga mkono juhudi za Zanzibar katika kuboresha miundombinu ambapo hivi karibuni Taasisi ya UK Export Finance ya Uingereza imetoa dhamana kwa ajili ya…
Majaliwa : Mapato ya bandari yafikia trilioni moja kwa mwezi
*Ongezeko hilo limechangiwa na uwekezaji uliofanyika katika gati namba 0-7 * Asema pato halisi la Taifa limekuwa kwa wastani wa asilimia 5.5 WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema mapato ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari kwa mwezi yameongezeka kutoka wastani wa…
Tanzania yashiriki mkutano wa 10 wa Baraza la Mawaziri nchi zinazozalisha almasi
Freetown- Sierra Leone Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa Aprili 8, 2025 ulishiriki Jukwaa Maalum la Mkutano wa 10 wa Baraza la Mawaziri wa Nchi zinazozalisha Madini ya Almasi Barani Afrika (The African Diamond…




