JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dk Nchimbi aagana na Simiyu, aelekea Shinyanga kusaka kura

Wananchi wa Mji Mdogo wa Lalago,Maswa Mashariki wilayani Maswa wakimsikiliza mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi wakati akiwahutubia kwenye mkutano mdogo wa hadhara leo Jumatano Septemba 3,2025,wakati akimalizia mkutano wake wa mwisho…

China yaadhimisha miaka 80 ya ushindi kwa gwaride la kijeshi

China imefanya gwaride kubwa la kijeshi katika uwanja wa Tiananmen jijini Beijing kuadhimisha miaka 80 tangu kushindwa kwa Japan mwishoni mwa Vita Kuu ya Pili ya Dunia. Gwaride hilo limetasfiriwa na wachambuzi kama ishara ya mabadiliko ya nguvu za kisiasa,…

Kijiji kizima chafukiwa na maporomoko Sudan, watu zaidi ya 1,000 wafariki

Jimbo la Darfur limekumbwa na janga kubwa la maporomoko ya ardhi ambapo kijiji kizima cha Tarasin kilichoko katika milima ya Jebel Marra kimesombwa kabisa na kusababisha vifo vya takriban watu 1,000. Mamlaka za ndani nchini Sudan, Umoja wa Mataifa na…

Bei ya mafuta ya petroli kwa Septemba yashuka

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za mafuta zinazotumika kuanzia leo Septemba 3, 2025, zikionesha kupungua kwa kwa shilingi 36 kwa bei ya petroli na shilingi 23 kwa bei ya dizeli kwa mafuta…

Mmiliki kiwanda cha kutengeneza ndege Morogoro aongeza mkataba wa uwakilishi wa heshima

Balozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Czech mwenye makazi yake Berlin, Ujerumani, Mhe. Hassani Iddi Mwamweta wamewekeana saini mkataba na Mwakilishi wa Heshima wa Tanzania katika Jamhuri ya Czech, Bw. Roman Glorig wa kuhuisha rasmi nafasi yake ya uwakilishi wa…