JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

EU yatangaza vikwazo vipya dhidi ya Urusi

UMOJA wa Ulaya (EU) unatarajiwa kuidhinisha awamu mpya ya vikwazo dhidi ya Urusi ikiwa ni hatua nyingine ya kushinikiza Kremlin kusitisha uvamizi wake dhidi ya Ukraine. Hatua hiyo imecheleweshwa kwa zaidi ya mwezi mmoja kutokana na upinzani kutoka Slovakia, ambayo…

Dk Mwinyi amkabidhi tuzo ya heshima ya uchaguzi Kamishna THBUB

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, akimkabidhi tunzo ya heshima Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), ofisi ya Zanzibar, Mhe. Khatibu Mwinyichande aliyotunukiwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)…

Wahamiaji haramu 126 kutoka Burundi wakamatwa Geita

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Geita imewakamata wahamiaji haramu 126, ambao ni raia wa Burundi walioingia nchini, kufanya kazi na kuishi kwenye maeneo tofauti kinyume cha sheria. Mkuu wa Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Geita,…

Dk Yonazi aipongeza Serikali mageuzi sekta ya kilimo

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imepongezwa kwa kuendelea kufanya mageuzi makubwa katika Sekta ya Kilimo kwa lengo la kuongeza uzalishaji, tija na faida kwa wakulima na wananchi kwa ujumla. Pongezi hizo zimetolewa…

Hati miliki za ardhi 1, 176 zatolewa maonesho sabasaba 

Na Mwandishi Wetu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetoa jumla ya Hati Milki za Ardhi 1,176 wakati wa Maonesho ya Kimataifa maarufu kama Sabasaba yaliyomalizika mwishoni mwa wiki. Katika maonesho hayo yaliyobeba kaulimbiu ya “Fahari ya Tanzania”…

Serikali Mkoa wa Mwanza yadhibiti uchimbaji holela wa madini Kasandi na Ishokela hela

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Serikali ya Mkoa wa Mwanza imeanza kuchukua hatua madhubuti kudhibiti ongezeko la shughuli za uchimbaji wa madini kiholela katika maeneo ya Kasandi na Ishokela Hela, yaliyopo Wilaya ya Misungwi, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa…