Author: Jamhuri
Mwakyembe, Chambo wasitishwe
BAADHI ya wafanyakazi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), wamemwandikia barua Katibu Mkuu Kiongozi, Ikulu, Balozi Ombeni Sefue wakidai kuwa Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe anafanya kazi kwa kutumia majungu anayopelekewa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Omar Chambo.
Yah: Nguvu ya maji yaja, mtaua wangapi?
Wanangu, ka-jua ka leo kananikumbusha mandhari ya miaka mingi kabla Tanganyika haijaanza kuwa jangwa la kutisha na kushindwa kuhimili hali ya ukame na wakati mwingine kukosa maji ambayo yanasababisha hadi tukose umeme na kusababisha kuyumba kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na nchi.
Kikwete polisi wanaanza kuyeyusha heshima uliyojijengea
Mwaka 2008 nilibahatika kuwa mmoja wa watu waliopata fursa ya kusafiri na Rais Jakaya Kikwete kwenda jijini Washington, Marekani. Safari hii ilikuwa ikihusiana na mambo mbalimbali lakini kubwa ni kushawishi Serikali ya Marekani kuridhia Mpango wa Millennia Challenge Cooperation (Account) – MCC.
Waziri Mgimwa ahimiza ufanisi PPF
Waziri wa Fedha, Dk. William Mgimwa, amehimiza utendani makini utakaongeza ufanisi katika Mfuko wa Pensheni za Mashirika ya Umma (PPF) nchini.
Elimu ya Tanzania vipi?
Baada ya matokeo ya mitihani ya darasa la VII ya mwaka 2011 kutangazwa, kumetokea tashtiti kubwa katika nchi hii. Kule kutangazwa kwamba wanafunzi 5,200 hawajui kusoma wala kuandika, lakini wamo miongoni mwa watoto 567,567 waliochaguliwa kuingia kidato cha kwanza mwaka huu, kumewashangaza wengi. Naona kama ni jambo fulani la kisanii!
Sumaye, Nagu katika vita kali
*Muhtasari wa kikao wachakachuliwa, jina la Dk. Nagu laingizwa
Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Hanang’ mkoani Manyara, kinakabiliwa na mpasuko unaosababishwa na uhasama ulioibuka kati ya Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk. Mary Nagu, na Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye.
Habari mpya
- Ndejembi aipongeza REA
- Mwenge waridhishwa na mradi wa maji Kigoda–Ngwale unaotekelezwa na RUWASA
- Waziri Mkuu: Fedha za muungano zitumike kukarabati miundombin ya barabara
- TMDA kuteketeza bidhaa tiba zilizokwisha muda wa matumizi na zisizpfaa kwa matumizi
- CCM na changamoto ya vyama vingi
- Waziri wa Fedha asisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kutunza vyanzo vya maji
- Mwenge watambua mchango wa Ridhiwani kwenye falsafa ya Mwenge wa Uhuru tangu kuanzishwa
- Serikali yashusha pumzi kwa wamiliki wa mabasi, nauli mpya hizi hapa
- Mashili : Tumuombee Rais, tuliombee taifa
- Kiongozi wa mqenge asifu kiwanda cha nguzo za zege kwa kuukoa mazingira
- Sitovumilia mwalimu kuonewa au kutotendewa haki – Pro. Shemdoe
- Zaidi ya bil.127.7/- zatumika kufikisha nishati vijijini Mwanza
- Mwenge wa Uhuru kupitia miradi 68 ya bilioni 263.1/- Pwani
- Equinor yafanya ziara Bandari ya Mtwara kutathmini utayari wa mradi wa LNG
- HESLB yazindua Kampeni ‘Kiduchu fresh tunasonga mbele’