Author: Jamhuri
Madai ya Tundu Lissu yachunguzwe
Katika gazeti la leo kuanzia ukurasa wa kwanza tumechapisha ripoti maalum yenye kuonyesha hali ya wasiwasi katika muhimili wa tatu wa dola uliokasimiwa jukumu la msingi la kutoa haki. Wasiwasi huu umeibuliwa na taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Katiba na Sheria, Tundu Lissu kwa Kamati ya Uongozi ya Bunge.
RIPOTI MAALUMU
Majaji ‘vihiyo’ watajwa
*Yumo aliyeshindwa kuandika hukumu miaka minne
*Wengine wagonjwa, hawajawahi kusikiliza kesi
*Yumo Jaji wa Mahakama ya Rufaa asiye na shahada
*Baada ya kubanwa sasa anasoma Chuo Kikuu Huria
*Wengine walikuwa mahakimu watuhumiwa wa rushwa
Kagasheki akimweza huyu, ataweza kila kitu
Hivi karibuni, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), aliubua bungeni mkataba ulioingiwa baina ya kampuni za Uranium Resources PLC, Western Metals Limited na Game Frontiers of Tanzania Limited, mkataba ambao umetengenezwa na kampuni ya Kitanzania ya Rex Attorneys na kusainiwa Machi 23, 2007.
Wabunge waunga mkono msimamo wa Morocco
Bunge la Tanzania linaunga mkono msimamo wa Morocco katika kupata ufumbuzi wa mgogoro kati ya taifa hilo na taifa la Sahara Magharibi. Mwaka 1975 uliibuka mgogoro wa ndani kati ya Morocco na taifa la Sahara Magharibi linalotaka kujitangazia Uhuru. Mgogoro huu uliofanya Sahara Magharibi kujenga ukuta kama wa Berlin kule Ujerumani, umekuwa na madhara makubwa ndani ya taifa la Morocco.
Malawi waigwaya kipigo JWTZ
* Taarifa za kiintelejensi za Jeshi letu zawaogopesha
* Ndege za utafiti zaondolewa upande wa Tanzania
* Makamanda wasisitiza kuendelea kuulinda mpaka
* Waingereza walipotosha mpaka
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linaendelea kuimarisha ulinzi katika mpaka wa Tanzania na Malawi, licha ya taifa hilo dogo lililopo kusini mwa Afrika kuonyesha nia ya kutotaka kuingia katika vita, lakini pia gazeti la JAMHURI limebaini chimbuko la historia ya upotoshaji katika mpaka wa nchi hizi.
Mjue Kada wa CCM Mohsin Abdallah
*Tume ya Jaji Warioba ilianika madudu yake
*Ni bilionea anayehodhi vitalu vya uwindaji
Hivi karibuni, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) aliuibua bungeni mkataba ulioingiwa baina ya kampuni za Uranium Resources PLC, Western Metals Limited na Game Frontiers of Tanzania Limited uliotengenezwa na Kampuni ya Kitanzania ya Rex Attorneys, na kusainiwa Machi 23, 2007.
- Jubilee Life Insurance yazindua bidhaa tatu mpya za bima ya maisha
- PBPA Yawawezesha Mama Lishe Kurasini kuhamia Nishati Safi ya kupikia
- Serikali yaimarisha mikakati kukuza sekta ya viwanda
- Ndembeji Anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Kongamano la Tano la Uchumi wa Bluu
- NMBF yafungua maombi ya ‘Nuru ‘Yangu’
Habari mpya
- Jubilee Life Insurance yazindua bidhaa tatu mpya za bima ya maisha
- PBPA Yawawezesha Mama Lishe Kurasini kuhamia Nishati Safi ya kupikia
- Serikali yaimarisha mikakati kukuza sekta ya viwanda
- Ndembeji Anatarajiwa Kuwa Mgeni Rasmi Kongamano la Tano la Uchumi wa Bluu
- NMBF yafungua maombi ya ‘Nuru ‘Yangu’
- Serikali yaimarisha miundombinu ya umeme Igunga – Salome
- Mawasilisho 294 kupigiwa kura Samia kalamu Awards 2026.
- Makamu wa Rais ataka bei ya saruji ishuke haraka
- Sekta binafsi injini ya Tanzania kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050
- TANESCO Ubungo yawabaini wateja waliochepusha umeme kupitia vishoka
- FCC yawataka wafanyabiashara kuripoti bidhaa bandia
- Sumaye : Watanzania kukutana kuliombea Taifa
- Tanesco Ubungo yanasa waliojiunganishia Umeme kinyume na utaratibu
- Serikali yafikisha umeme maeneo 582 ya wachimbaji wadogo, kilimo na viwanda Tanzania Bara
- Serikali yaimarisha uhimilivu bei za mafuta nchini