Author: Jamhuri
Madai ya Tundu Lissu yachunguzwe
Katika gazeti la leo kuanzia ukurasa wa kwanza tumechapisha ripoti maalum yenye kuonyesha hali ya wasiwasi katika muhimili wa tatu wa dola uliokasimiwa jukumu la msingi la kutoa haki. Wasiwasi huu umeibuliwa na taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Katiba na Sheria, Tundu Lissu kwa Kamati ya Uongozi ya Bunge.
RIPOTI MAALUMU
Majaji ‘vihiyo’ watajwa
*Yumo aliyeshindwa kuandika hukumu miaka minne
*Wengine wagonjwa, hawajawahi kusikiliza kesi
*Yumo Jaji wa Mahakama ya Rufaa asiye na shahada
*Baada ya kubanwa sasa anasoma Chuo Kikuu Huria
*Wengine walikuwa mahakimu watuhumiwa wa rushwa
Kagasheki akimweza huyu, ataweza kila kitu
Hivi karibuni, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema), aliubua bungeni mkataba ulioingiwa baina ya kampuni za Uranium Resources PLC, Western Metals Limited na Game Frontiers of Tanzania Limited, mkataba ambao umetengenezwa na kampuni ya Kitanzania ya Rex Attorneys na kusainiwa Machi 23, 2007.
Wabunge waunga mkono msimamo wa Morocco
Bunge la Tanzania linaunga mkono msimamo wa Morocco katika kupata ufumbuzi wa mgogoro kati ya taifa hilo na taifa la Sahara Magharibi. Mwaka 1975 uliibuka mgogoro wa ndani kati ya Morocco na taifa la Sahara Magharibi linalotaka kujitangazia Uhuru. Mgogoro huu uliofanya Sahara Magharibi kujenga ukuta kama wa Berlin kule Ujerumani, umekuwa na madhara makubwa ndani ya taifa la Morocco.
Malawi waigwaya kipigo JWTZ
* Taarifa za kiintelejensi za Jeshi letu zawaogopesha
* Ndege za utafiti zaondolewa upande wa Tanzania
* Makamanda wasisitiza kuendelea kuulinda mpaka
* Waingereza walipotosha mpaka
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linaendelea kuimarisha ulinzi katika mpaka wa Tanzania na Malawi, licha ya taifa hilo dogo lililopo kusini mwa Afrika kuonyesha nia ya kutotaka kuingia katika vita, lakini pia gazeti la JAMHURI limebaini chimbuko la historia ya upotoshaji katika mpaka wa nchi hizi.
Mjue Kada wa CCM Mohsin Abdallah
*Tume ya Jaji Warioba ilianika madudu yake
*Ni bilionea anayehodhi vitalu vya uwindaji
Hivi karibuni, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) aliuibua bungeni mkataba ulioingiwa baina ya kampuni za Uranium Resources PLC, Western Metals Limited na Game Frontiers of Tanzania Limited uliotengenezwa na Kampuni ya Kitanzania ya Rex Attorneys, na kusainiwa Machi 23, 2007.
- Waziri Mkuu: Fedha za muungano zitumike kukarabati miundombin ya barabara
- TMDA kuteketeza bidhaa tiba zilizokwisha muda wa matumizi na zisizpfaa kwa matumizi
- CCM na changamoto ya vyama vingi
- Waziri wa Fedha asisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kutunza vyanzo vya maji
- Mwenge watambua mchango wa Ridhiwani kwenye falsafa ya Mwenge wa Uhuru tangu kuanzishwa
Habari mpya
- Waziri Mkuu: Fedha za muungano zitumike kukarabati miundombin ya barabara
- TMDA kuteketeza bidhaa tiba zilizokwisha muda wa matumizi na zisizpfaa kwa matumizi
- CCM na changamoto ya vyama vingi
- Waziri wa Fedha asisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kutunza vyanzo vya maji
- Mwenge watambua mchango wa Ridhiwani kwenye falsafa ya Mwenge wa Uhuru tangu kuanzishwa
- Serikali yashusha pumzi kwa wamiliki wa mabasi, nauli mpya hizi hapa
- Mashili : Tumuombee Rais, tuliombee taifa
- Kiongozi wa mqenge asifu kiwanda cha nguzo za zege kwa kuukoa mazingira
- Sitovumilia mwalimu kuonewa au kutotendewa haki – Pro. Shemdoe
- Zaidi ya bil.127.7/- zatumika kufikisha nishati vijijini Mwanza
- Mwenge wa Uhuru kupitia miradi 68 ya bilioni 263.1/- Pwani
- Equinor yafanya ziara Bandari ya Mtwara kutathmini utayari wa mradi wa LNG
- HESLB yazindua Kampeni ‘Kiduchu fresh tunasonga mbele’
- TANESCO yatoa zawadi ya majiko kwa walimu wa sekondari wasichana Manyara
- Prof. Shemdoe awataka ma RC, ma DC kupunguza magari kwenye ziara