JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Burudani

BABA GASTON Mtunzi wa ‘Kakolele’, wimbo usiochuja

TABORA Na Moshy Kiyungi Msimu wa sherehe za mwisho wa mwaka 2021 unamalizika na kama ilivyo kwa miaka mingine, zipo nyimbo kadhaa ambazo husikika zaidi nyakati hizi pekee. Mmoja miongoni mwa nyimbo hizo ni ‘Kakolele’, maarufu kama ‘Viva Krismasi’. Wimbo…

Defao ‘alivyopigwa’ na wajanja

TABORA  Na Moshy Kiyungi Ukimwona kwenye runinga akinengua huwezi kuamini kwamba mwanamuziki mkongwe wa DRC, Jenerali Defao, ana zaidi ya miaka 60 sasa. Defao alizaliwa Desemba 03, 1958 Kinshasa, DRC, akiitwa Mutomona Defao Lulendo. Ni mwanamuziki mwenye kipaji cha kutunga…

KUMBUKIZI YA SALUM ABDALLAH… Aliacha duka akatorokea Mombasa 

Mpenzi wangu utaniponza,  Kwa mambo unayoyafanya, Mpenzi unatuchonganisha,  Mimi na yule ni rafiki, Wewe watupambanisha,  Mpenzi utaniumiza. Wajaribu kunidanganya,  wanambia yule wangu mwana, Kumbe pembeni ni wako bwana, Mpenzi utaniumiza, Yule ulisema yule kaka,  Kumbe mafuta ulinipaka, Pembeni huwa hekaheka, …

Saida Karoli… Almasi iliyookotwa kijijini

TABORA Na Moshy Kiyungi Simulizi zinasema zamani wenyeji wa Shinyanga walikuwa wakiokota mawe yanayong’ara bila kutambua kuwa ni mali. Wazungu walipoyaona mawe hayo mara moja wakatambua kuwa ni almasi, madini yenye thamani. Inadaiwa kuwa wakaanza kuwalaghai wenyeji kwa kubadilishana mawe…

Kimobiteli: Binti wa Kizanzibari  aliyeanzia Shikamoo Jazz band

TABORA Na Moshy Kiyungi Ukitazama ghafla jukwaani unaweza kudhani kuna mtoto wa shule aliyepanda kuimba na kunengua, lakini kumbe ni mwanamuziki maarufu wa dansi nchini, Khadija Mnoga. Umbo lake dogo na sura yenye bashasha muda wote, sambamba na umahiri wake…

LES MANGELEPA Wacongo walioweka maskani Nairobi 

TABORA Na Moshy Kiyungi Baadhi ya wanamuziki wa Orchestra Baba Nationale ‘walichomoka’ baada ya kutokea kutoelewana kati yao na uongozi, wakaunda kikosi cha Les Mangelepa. Hiyo ilikuwa ni Julai 1976, wakiongozwa na Bwammy Walumona ‘La Capitale’, wakimuacha Ilunga Omer Ilunga…