Category: Burudani
Banana kama baba yake (1)
Wahenga wana misemo mingi na moja ya misemo hiyo ni: “Mtoto wa nyoka ni nyoka.” Usemi huu umejidhihirisha wazi kwa mwanamuziki wa kizazi kipya, Banana Zorro, anayefanya muziki kama alivyo baba yake mzazi, Zahir Alli Zorro. Zahir ni mmoja kati…
Mbwana Samatta ang’ara tena
Mshambuliaji mpya wa Aston Villa ya Uingereza na nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, ameendelea kung’ara kwa kuchaguliwa kuwa Mtanzania kijana mwenye ushawishi mkubwa kwa mwaka 2019. Samatta ameibuka kidedea katika kura zilizoendeshwa na Kampuni ya Avance Media. Taarifa iliyotolewa…
Singeli kuifunika Bongo Fleva? (2)
Katika makala iliyopita tulianza kuangalia kwa ufupi historia ya mwanamuziki Man Fongo, ambaye ni mmoja wa watu ambao wameufanya muziki wa Singeli ukasisimua nchini. Ingawa Man Fongo na wenzake wamefanya kazi kubwa kuutambulisha muziki huo ambao sasa unashindana na Bongo…
Makoma Troupe ilivyochengua watu ukumbini (1)
Kundi la muziki wa zouk la Makoma lilikuwa na wanamuziki ambao walimudu kweli kuwachengua mashabiki waliokuwa wamefurika ukumbini walipofanya ziara nchini miaka kadhaa iliyopita. Wakati huo wengi wa mashabiki nchini walilikubali kundi hilo mwanzoni wakidhani kuwa ni kundi la muziki…
KASSIM MGANGA
Mwanamuziki asiyependa kujenga jina lake kwa kiki Kassim Mganga ni msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye amekuwa kivutio kikubwa kwa wapenzi wa muziki wa mwambao, ambapo hivi sasa anatamba katika video yake ya Somo. Wimbo huo una maneno ya…
Mdogo wa Ali Kiba amkingia kifua Diamond
Bifu kati ya wanamuziki mahiri nchini, Diamond Platnumz na Ali Kiba ni jambo linaloeleweka wazi. Kuelekea mwishoni mwa mwaka jana wawili hao walizidisha msigano wao baada ya Diamond kumwalika Kiba kushiriki kwenye tamasha la Wasafi – Wasafi Festival. Lakini Kiba…