Category: Sitanii
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (30)
Wiki mbili zilizopita nilihitimisha makala hii katika sehemu ya 29 kwa kuhoji hivi: “Kwa upande wa kodi za serikali kuu, makala hii inakomea hapa, isipokuwa nitagusia ushuru, stempu, kodi ya michezo ya kubahatisha na Ushuru wa Stempu ya Elektroniki. Hadi…
Kwaheri Dilunga, pengo halizibiki
Wiki iliyopita tumepata pigo. Mhariri wetu wa Gazeti la JAMHURI, Godfrey Dilunga, amefariki dunia Septemba 17, 2019. Namshukuru Mungu tulipata fursa na nafasi ya kufanya kazi na Dilunga. Dilunga aliajiriwa JAMHURI Media Ltd Februari 1, 2019. Kabla ya hapo alifanya…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (29)
Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii katika sehemu ya 28 kwa kuhoji hivi: “Je, unafahamu jinsi ya kufanya marejesho ya VAT kwa njia ya mtandao na faida zake? Usikose sehemu ya 29 ya makala hii Jumanne ijayo. Hapa nia ni kuhakikisha…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (28)
Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii katika sehemu ya 27 kwa kuhoji hivi: “Sitanii, wapo watu wanalipa kodi vizuri, lakini mwisho wa siku wanapata matatizo kwa kutopeleka ushahidi kuwa wamelipa kodi TRA. Je, unafahamu kodi zinalipiwa wapi ikiwamo VAT? Usikose sehemu…
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (27)
Wiki tatu zilizopita nilihitimisha makala hii katika sehemu ya 26. Nilieleza nani analipa VAT, utaratibu wa kujisajili, tarehe za kulipa VAT na taratibu nyingine. Nikiri kuwa nimekabiliwa na majukumu mengi ya kitaifa, ikiwamo kuchunguza matreka ya URSUS yanayowatia hasara wakulima….
Jinsi ya kuanzisha biashara Tanzania (26)
Wiki iliyopita nilihitimisha makala hii kwa kuhoji hivi: “Je, unaelewa VAT ni nini na inalipwaje? Usikose sehemu ya 26 ya makala hii wiki ijayo.” Leo nashindwa kuanza makala hii bila kutoa pole kwa taifa letu kutokana na msiba mkubwa uliotokea…