Category: Sitanii
Tusherehekee haki ya kupata taarifa kwa vitendo
Na Deodatus Balile Leo ni siku ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Haki ya Kupata Taarifa au wengine wanasema ni ‘Siku ya Haki ya Kujua’ kama inavyojulikana kwa wadau wengi duniani. Siku hii ilitambuliwa rasmi na Umoja wa Mataifa…
Polisi msikamate kabla ya upelelezi
Na Deodatus Balile, Dodoma Kwanza ninaomba kuwashukuru wasomaji wangu kwa mrejesho mkubwa mno kutokana na safu hii ya SITANII kwa makala niliyoiandika wiki iliyopita. Katika makala ya wiki iliyopita nilimwomba DPP kutumia mamlaka yake ya kisheria kuiondoa mahakamani kesi inayomkabili…
DPP, IGP, DCI lifutieni taifa aibu kesi ya Mbowe
Na Deodatus Balile Imenichukua muda kuandika makala hii. Ninafahamu kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, anashitakiwa kwa tuhuma za kufadhili ugaidi kwa Sh 600,000. Anashitakiwa pia kwa tuhuma za kupanga njama za kulipua vituo vya…
Kamati ilete majibu utitiri tozo za mafuta
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema kamati iliyoundwa kuchunguza mfumko wa bei ya mafuta nchini kati ya mwezi Julai, Agosti na Septemba, itatoa taarifa yake Septemba 16, 2021. Kamati hiyo iliundwa Septemba 2, 2021. Katika hili, ninadhani tunakwenda kufanya…
Mwakabibi, urais 2025 CCM
Na Deodatus Balile Ndugu msomaji ninakushukuru kwa mrejesho mkubwa ulionipa wiki iliyopita. Sitairejea makala ya wiki iliyopita, ila leo nitazungumzia kwa uchache kilichomtokea aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Lusubilo Mwakabibi. Mwakabibi na mwenzake wamepandishwa kizimbani kwa kesi ya uhujumu…
Mbowe, chanjo na hujuma CCM
Na Deodatus Balile Mpendwa msomaji salamu. Sitanii, tangu nimepata pigo la kuondokewa na Mkurugenzi mwenzetu, Mkinga Mkinga, Juni 24, 2021, sijaandika katika safu hii. Itanichukua muda kuamini kuwa kweli Mkinga amefariki dunia, ila nalazimika kuukubali ukweli kwamba sisi tu waja…



