Category: Habari Mpya
Taifa Gas yajidhatiti kufikisha huduma ya gesi kwa gharama nafuu
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakati serikali ikiendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Kampuni ya Taifa Gas Tanzania Limited imesema imejidhatiti kuweza kufikisha huduma ya gesi nchi nzima kwa gharama nafuu. Hayo yamebainishwa jijini Dar es…
11 wahukumiwa kwa kujipatia fedha mtandaoni kwa njia ya udanganyifu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu watu 11 ambao ni wakazi wa Ifakara, mkoani Morogoro kifungo cha miaka mitatu jela au kulipa faini ya Sh. Milioni 6 kwa kila mmoja baada ya kupatikana…
Watendaji kata, mitaa, maendeleo ya jamii wanolewa Kibaha
Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia, Kibaha Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mheshiniwa Mussa Ndomba amefungua Kikaokazi cha siku moja kilichowakutanisha Watendaji Kata,Mitaa,Wataalam wa Kilimo,Mifugo na Maafisa Maendeleo ya Jamii kilichofanyika jana Machi 28,2024 kwenye ukumbi wa Halmashauri kikiangazia utoaji wa…
Mufti Sheikh Zubeir kuzindua kitabu chake cha maadili mfungo Mosi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir, anatarajia kuzindua rasmi kitabu chake ambacho kinahusu masuala mazima ya maadili, kitabia ndani ya jamii hususan kwa kundi la vijana, ifikapo mfungo Mosi. Aidha amewaasa watanzania kujenga tabia ya…





