JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Wanawake MSD walipa gharama za upasuaji kwa watoto wenye vichwa vikubwa Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Naibu Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila Dkt. Julieth Magandi amewashukuru watumishi wanawake wa Bohari ya Dawa (MSD) kwa msaada wa kulipia sehemu ya gharama za matibabu kwa watoto wenye matatizo ya vichwa vikubwa na mgongo…

Wadanganyifu wote wa NHIF wamechukuliwa hatua

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Meneja wa Kitengo cha Kupambana na Udanganyifu kutoka NHIF Bi. Rose Ntundu ametoa ufafanuzi dhidi ya taarifa za upotoshaji zinazosambazwa mtandaoni kuhusu watumishi 148 wa NHIF kuhusika kwenye vitendo vya udanganyifu. Ntundu amesema…

Bashungwa amsimamisha kazi meneja TANROADS Lindi

…….…………………….. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemsimamisha kazi Meneja wa TANROADS Mkoa wa Lindi, Eng. Andrea Kasamwa kwa kushindwa kusimamia urejeshwaji wa miundombinu ya barabara na madaraja katika Wilaya ya Liwale Mkoani Lindi na kupelekea barabara kuu zinanounganisha wilaya hiyo…

Esther Matiko : Nitagombea ubunge Jimbo la Tarime Mjini 2025, bado sijamaliza kutatua kero

Na Helena Magabe JamhuriMedia, Tarime Mbunge wa Viti Maalumu kupitia chama cha Demokrasia na na (CHADEMA), Esther Matiko amesema atagombea ubunge wa Jimbo la Tarime Mjini 2025 kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu baada ya kupokea maoni kutoka kwa watu mbalimbali…

Wanawake Tume ya Madini walipa bili za wagonjwa wenye uhitaji Hospitali ya Rufaa Dodoma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma KUELEKEA Siku ya Wanawake Duniani wanawake kutoka Tume ya Madini wamefanya ziara katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na kulipia gharama za matibabu kwa wagonjwa wenye uhitaji maalum ikiwemo vifaa tiba, dawa, operesheni…

Wanawake Ofisi ya Taifa ya Mashtaka waanza kuenzi siku ya wanawake kwa kuwafariji wagonjwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma OFISI ya Taifa ya Mashtaka imetoa msaada wa fedha kwa ajili ya matibabu kwa wagonjwa walilazwa kwa muda mrefu kwenye hospitali ya rufaani ya mkoa wa Dodoma ikiwa ni hatua ya kuenzi siku ya wanawake…