JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TanTrade yajadili Matokeo ya Utafiti wa Hali ya Biashara Nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKURUGENZI wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade ), Latifa Khamis ameongoza zoezi la upokeaji na majadiliano ya matokeo utafiti wa awali wa hali ya biashara nchini. Akizungumza katika hafla hiyo iliyofanyika…

Pinda :Busara itumike kushughulikia changamoto za ardhi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe, Geophrey Pinda amewataka watumishi wa sekta ya ardhi nchini kutumia busara wakati wote wa kushughulikia changamoto za sekta ya ardhi. Pinda ametoa kauli hiyo leo…

Watakiwa kuunga mkono juhudi za Rais Samia kwa vitendo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Kuekelea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika hivi karibuni, Wananchi Wilayani Same Mkoni Kilimanjaro wametakiwa kuwa mstari wa mbele kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa vitendo kwenye maboksi ya kura pamoja na…

Meneja RUWASA atoa siku saba kuundwa kamati ya kutatua kero ya maji Singa

Na Ashrack Miraji, JamhuriMedia, Same Kilimanjaro Maneja wa RUWASA wilayani Moshi, Mussa Msangi, ametoa agizo la kuuundwa kwa kamati mpya ya maji ndani ya siku saba katika Kijiji cha Singa kufuatia malalamiko ya wananchi kuhusu maji. Meneja Msangi ametoa agizo…

CBE waja na kozi ya uchunguzi wa rushwa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Rebecca Nsemwa, amekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kwa kuanzisha kozi ya uchunguzi wa masuala ya  ufisadi na  kupambana na rushwa. Amesema kozi hiyo itasiadia kwa kiwango kikubwa nchi…

Rais Samia aboresha huduma za afya Manispaa Tabora

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora HALMASHAURI ya Manispaa Tabora imepokea zaidi ya bil 1.3/ kutoka Serikali Kuu kwa ajili ya kuboresha upatikanaji huduma za afya kwa wananchi katika zahanati na vituo vyote vya kutolea huduma za afya. Hayo yamebainishwa jana…