JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Barabara ya mwendokasi Kibaha- Dodoma yaja

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema mipango ya serikali ya awamu ya sita ni kujenga barabara ya mwendokasi ( Express way) kuanzia Kibaha- Chalinze – Morogoro mpaka makao makuu ya nchi Dodoma. Bashungwa amesema hayo…

Mahitaji ya umeme makubwa kuliko uzalishaji

Katibu Mkuu Wizara ya Nishati amefafanuwa kuwa changamoto ya mgao unatokana na umeme unaozalishwa kutokidhi mahitaji ya Watanzania wote. Mramba ametoa kauli hiyo leo Februari 22, 2024 katika mkutano wa Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Zuhuru Yunus, unaohusisha viongozi mbalimbali na…

Waziri Simbachawane aitaka TAKUKURU kuwadhibiti wachezeaji rasilimali za nchi

Na Lusungu Helela, JamhuriMedia, Iringa  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ameitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU kudhibiti mianya ya rushwa katika fedha za miradi ya…

Kampuni zaidi ya 500 za kitaifa na kimataifa kushiriki

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKISHO la Wenye Viwanda nchini ( CTI) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (Tantrade), wamezindua mipango ya ushiriki wa Maonesho ya Kimataifa ya Wazalishaji Tanzania 2024, Tanzania International Manufacturers Expo (TIMEXPO2024)….

Nassor Marhun aapa kutetea ushindi wa ACT Wazalendo 2025

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mgombea Mwenza wa Ngome ya Vijana, Nassor Ahmed Marhun amewaahidi vijana wa ACT Wazalendo kuwa endapo watachaguliwa wamejipanga kutafuta na kutetea ushindi wa chama chao katika Uchaguzi Mkuu wa 2025. Marhun ametoa kauli…

Mahakama yakubali ombi la wakili Malando kupitia shauri la mirathi la mteja wake

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nzega Wakili Edward Malando anayewawakilisha upande mmoja wa ndugu wanaovuna kwenye shauri la mirathi ya Zena Jalakhan ameomba Mahakama impe muda apitie jalada la shauri hilo. Wakili Malando aliwasilisha maombi hayo jana katika Mahakama ya Mwanzo…