Category: Habari Mpya
Chongolo : Walipeni madeni, wahisheni malipo ya wakandarasi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, Daniel Godfrey Chongolo amesema kupitia utekelezaji wa Ilani yake ya Uchaguzi ya 2020 – 2025, CCM itahakikisha Serikali inaendelea kuweka mazingira bora na kuwajengea uwezo makandarasi na washauri waelekezi…
Rais Samia atoa bil.56- ya miradi ya maji Manyara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dk Samia Suluhu Hassan kwa kipindi cha miaka mitatu imetoa shilingi Bilioni 56 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji mijini na vijijini mkoani Manyara ambapo miradi…
Serikali yaiwezesha MSD kusambaza vifaa tiba, dawa Simiyu Simiyu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu BOHARI ya Dawa (MSD), Kanda ya Mwanza kupitia Serikali imeendelea na usambazaji wa bidhaa za afya katika Mkoa wa Simiyu Wilaya ya Itilima, licha ya changamoto zinazosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani humo na…
Biteko aiagiza TPDC kuandaa mpango wa muda mrefu wa upatikanaji gesi
📌Aitaka pia kukagua ushuru wa huduma unaotolewa kwa Halmashauri Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameagiza Bodi na Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuja na mpango wa…





