Category: Habari Mpya
Wizara ya Ardhi yaanza maboresho katika vyuo vyake
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imeanza maboresho katika maeneo ya vyuo vyake vya Ardhi vya Morogoro (ARIMO) na Tabora (ARITA) Hayo yamebainishwa tarehe Novemba 24, 2023 na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba…
Dk Biteko : Rais, Dk Samia anataka mahusiano mazuri kati ya TRA na wafanyabiashara
📌Aipongeza TRA kufikia asilimia 97.4 ya ukusanyaji mapato mwaka 2022/2023 📌Ataka Wafanyabiashara kuendelea kulipa kodi kwa maslahi ya nchi Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Wafanyakazi wa Wizara ya Fedha na Mamlaka ya Mapato…
Dk Biteko akutana na menejimenti NMB
#Awaasa kusaidia miradi ya uwekezaji nchini hususan sekta ya umeme # NMB yaipongeza Serikali kwa kuwa na Uchumi imara Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,Dkt. Doto Biteko leo tarehe 24 Novemba, 2023 amekutana na kufanya mazungumzo na Menejimenti ya…
Wanafunzi shule za St Mary’s wafaulu kwa alama A
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Shule za St Mary’s nchini zimeendelea kufanya vizuri kwenye mitihani ya darasa la saba kwa wanafunzi wake kupata wastani wa alama A kwenye matokeo yao. Katika matokeo yaliyotangazwa jana na Baraza la Taifa…
Pinda : Mamlaka za upimaji shirikianeni na Wizara ya Ardhi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Serikali imezitaka taasisi zilizopewa mamlaka ya upimaji kuhakikisha zinashirikiana na Wizara ya Ardhi pale zinapokwenda uwandani ili kusaidia kuondoa migogoro inayoweza kuanzishwa kutokana na kutojua uhalisia wa mipaka. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Ardhi…
Dk Kisenge : Leteni wagonjwa wa moyo JKCI msiwapeleke nje ya nchi
Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam Madaktari nchini wameombwa kuwapeleka wagonjwa wenye matatizo ya moyo  katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya matibabu na siyo nje ya nchi kwani Serikali imewekeza vya kutosha katika vifaa tiba…





