JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

TMDA watoa ufafanuzi wa dawa ya Carbotoux (Carbocistaine+ Promethazine)

MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba nchini (TMDA), kupitia kwa Mkurugenzi Mkuu wake, Bw. Adam Fimbo leo Novemba 27,2023 imetolea ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii juu ya uwepo wa dawa aina ya Carbotoux (Carbocisteine 100mg + Promethazine…

Serikali imeweka msukumo wa kuimarisha sekta ya mipango – Dk Biteko

Na Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko, amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeweka msukumo wa pekee wa kuimarisha…

Tume ya Mipango shirikisheni wananchi uandaaji Dira ya Maendeleo ya Taifa – Dk. Biteko

📌 Ataka miradi inayofadhiliwa na Wadau wa Maendeleo pia ifuatiliwe na kufanyiwa tathmini 📌Awaasa Maafisa Mipango kutembea kifua mbele, wao ni wadau muhimu Serikalini 📌Aagiza watoe elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kutoa maoni kwa ajili ya maendeleo ya nchi…

Ndalichako aitaka mifuko ya jamii kutatua kero ya ucheleweshaji mafao kwa wastaafu

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,Ajira, Vijana na wenye Ulemavu,Profesa Joyce Ndalichako, ameyaagiza mashirika ya Hifadhi za Jamii hapa nchini kuchukuwa hatua za haraka ili kutatua kero zinazowakabili wastaafu ikiwemo kucheleweshewa mafao yao…

Wavamizi maeneo ya malisho Kiteto wapewa siku saba kupisha maeneo hayo

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Kiteto SERIKALI imetoa siku saba kwa wavamizi wanaofanya shuguli za kilimo kwenye maeneo ya kongani za malisho ya mifugo zilizotegwa kupitia mpango wa matumizi bora ya ardhi za vijiji wilayani Kiteto mkoani Manyara wawe wameshaondoka bila kujali kama…