JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Rais Mwinyi: Utalii ni kipaombele cha kwanza kwenye mnyororo sekta ya uchumi wa buluu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema utalii ni kipaombele chake cha kwanza kwenye mnyororo wa sekta za Uchumi wa Buluu kutokana na kuchangia asilimia 30 ya pato la taifa mbali ya sekta nyengine za maendeleo….

Prof.Janabi : Wekeni utaratibu mzuri wa kula na kufanya mazoezi ili kupunguza vifo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mkurugenzi Mtendaji Hospitali ya Taifa Muhimbili Prof. Mohamed Janabi ameishauri jamii kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza kwa kuweka utaratibu mzuri wa kula na kufanya mazoezi mara kwa mara kwa kuwa magonjwa hayo yamekuwa tishio ambapo yanachangia idadi…

Nchi za Afrika zatakiwa kushirikiana kukabiliana na changamoto za ongezeko la idadi ya watu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Algiers Wakuu wa nchi za kiafrika za kiafrika wametakiwa kuweka msukumo wa pamoja ili kukabiliana na changamoto zinazotokana na ongezeko kubwa la idadi ya watu Barani Afrika. Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu wa Algeria Aymen Ben…

Wakuu wa vitengo na wasimamizi wa wodi Muhimbili wapigwa msasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kushirikiana na wataalamu kutoka Epvate & Fortune International Consultant Ltd wameendesha mafunzo kazi ya siku mbili kwa Wakuu wa Vitengo na Wasimamizi wa Wodi kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kazi…

Mpanju awataka wataalam ngazi ya kata kutekeleza maendeleo ngazi ya msingi kwa wakati

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma NAIBU Katibu Mkuu,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na makundi maalum Wakili Amon Mpanju amewataka Viongozi wataalamu ngazi ya kata kuhakikisha wanaweka mpango kazi unaopimika wa utekelezaji maendeleo ngazi ya masingi kwenye maeneo yao ili kuakisi maudhui ya…

Naibu Waziri Nishati awahimiza wananchi kutumia nishati mbadala Songea

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea NAIBU Waziri wa Nishati Judith Kapinga amewahimiza wananchi kuona umuhimu wa kutumia nishati mbadala na amewataka kuacha kutumia nishati ambazo si rafiki kwa mazingira kwa lengo la kutunza mazingira kwa ajili ya vizazi vya sasa…