JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

NMB yatoa milioni 20 kupiga jeki shule tatu za Wilaya ya Ilala

Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kusaidia maendeleo ya sekta elimu nchini, Benki ya NMB imekabidhi madawati na meza yenye thamani ya shilingi milioni 20 kwa shule tatu za wilaya ya Ilala, Mkoani Dar es Salaam…

Serikali yaweka mkalati kuboresha uwekezsji sekta ya madini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia Dodoma Wizara ya Madini imeweka Mipango ya kuhakikisha Sekta Madini inafungamanishwa na mipango ya taifa ili kuwa na Matumizi yenye tija katika rasilimali za nchi hususan katika Sekta ya Madini. Hayo yameelezwa leo Oktoba 4, 2023 na…

Sekta ya madini kufungamanishwa na mipango ya Taifa uwekezezaji

Mazingira ya Uwekezaji Sekta ya Madini kuboreshwa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Imeelezwa kuwa, Wizara ya Madini imeweka Mipango ya kuhakikisha Sekta Madini inafungamanishwa na mipango ya taifa ili kuwa na Matumizi yenye tija katika rasilimali za nchi hususan katika…

Waziri Silaa atoa siku saba kumaliza kero ya urasimishaji Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Waziri wa Ardhi Nyumba na Maedeleo ya Makazi Jerry Silaa ametoa siku saba kupatikana suluhu ya changamoto za urasimishaji makazi holela wa makazi katika Mkoa wa Dar es Salaam. Agizo la Waziri Silaa linafuatia Mkoa wa…

Uboreshaji vifaa tiba Kituo cha Afya Likombe Mtwara wapunguza rufaa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, MtwaraZaidi ya Sh. Milionin361.5 zilizotumika kufanya maboresho ya kuweka vifaa tiba mbalimbali katika Kituo cha Afya Likombe kilichopo Halmashauri ya Mtwara-Mikindani zimesaidia kupunguza idadi ya rufaa zinazotolewa kwenda Hospitali ya Mkoa wa Ligula. Rufaa hizo zilizopungua kwa…