JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Ridhiwani: Serikali imedhamiria kuinua kaya maskini kwa kupeleka fedha za TASAF

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Kibaha Halmashauri nchini zimetakiwa kushirikiana na Serikali kupunguza umaskini kwenye baadhi ya kaya ikiwemo  ,kuvikopesha vikundi vya wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini( TASAF) ili viweze kujiinua kiuchumi. Naibu Waziri Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi…

Tazama matokeo kidato cha sita

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA (ACSEE) 2023 NA UALIMU 2023 YAMETANGAZWA Bofya link chini kutazama matokeo haya MATOKEO YA MTIHANI WA UALIMU (DSEE) 2023 https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/dsee/index.htm MATOKEO YA MTIHANI WA UALIMU (GATCE) 2023 https://matokeo.necta.go.tz/results/2023/gatce/index.htm MATOKEO YA MTIHANI WA UALIMU (GATSCCE) 2023…

Abbott Fund kuendeleza ushirikiano na Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Mfuko wa Abbott wenye makao yake makuu nchini Marekani umeahidi kuendelea kushirikiana na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) katika maeneo mbalimbali ikiwemo kuwajengea uwezo watalaam wa vifaa tiba na baadhi ya kada zenye uhaba zitakazoainishwa hapo…

Jerry: Baadhi ya hoja za kisheria wanaozijadili wanasheria hawazijui au wanapotosha makusudi

Wakati gumzo la mkataba wa uwekezaji Bandarini Dar es Salaam likiendelea, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mita ji ya Umma (PIC) ambaye pia ni Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa ameelezea mengi ikiwemo hoja za kisheria…

Serikali yatoa onyo kali kuhusiana na kilimo cha mirungi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Same Kamishna Jenerali Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini (DCEA), Aretas Lyimo ametoa onyo kali kwa viongozi wa ngazi ya halmashauri  watakaobanika kutochukua hatua stahiki kuhusiana na kilimo cha mirungi, na kusema kuwa watachukuliwa hatua…

‘Madaktari bingwa kufanyakazi kliniki binafsi si jipya’

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema suala la Madaktari Bingwa kufanya kazi ya Kliniki binafsi katika Hospitali za umma baada ya saa za kazi sio jipya na tayari linafanyika katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, JKCI, Ocean Road na Taasisi ya…