JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Naibu Waziri,Utumishi ateta na watumishi Kibaha

Na Byarugaba Innocent, JamhuriMedia,Kibaha Naibu Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Ridhiwan Kikwete ameanza ziara rasmi ya Kikazi Mkoani Pwani ambapo Julai 10,2023 ameongea na watumishi wa Halmashauri ya Mji Kibaha ikiwa niwendelezo…

Ridhiwani: Tuache kufanyakazi kwa mazoea, tutimize wajibu

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Kibaha Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amewaasa watumishi wa Umma kuacha tabia ya kusemana hovyo ,kuwekeana fitna ,na kufanyiana vituko kwani kwa kufanya hivyo ni kuzorotesha utendaji…

Ridhiwan: Takwimu TASAF ziakisi kila wilaya ili kufikia malengo kwa walengwa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Pwani Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete ameagiza takwimu za utekelezaji wa Mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) ziakisi kila Wilaya na Halmashauri zake ili kupata tathmini sahihi…

Hekari 535 za mirungi zateketezwa Same

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Katika kuhakikisha dawa za kulevya zinatokomea nchini Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya kwa kushirikiana na vyombo vingine vya Ulinzi na Usalama, imefanikiwa kuteketeza hekari 535 za mashamba ya mirungi katika operesheni maalum…