JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Msataafu Kikwete awapa kongole Muhimbili

Na mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA, Dar es salaam Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameipongeza Hospitali ya Taifa Muhimbili Upanga na Mloganzila kwa huduma nzuri wanazotoa kwa jamii na kuwataka…

DKT. Mwinyi kufungua maadhimisho ya kupinga rushwa barani Afrika

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Husein Ali Mwinyi anatarajia kuzindua Maadhimisho ya siku ya mapambano dhidi ya Rushwa barani Afrika Mkoani Arusha. Akiongea na vyombo vya Habari Jijini Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongela…

Mkulima wa tumbaku ampongeza Rais Samia, aahidi kusaidiana na Serikali

Na Dvid John,Tabora Mkulima wa zao la Tumbaku wilayani Sikonge Mkoani Tabora Masoud Kilyamanda amempongeza Rais wa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa harakati anazozifanya za kuhakikisha kuwa sekta ya kilimo inanufaisha walengwa hususani zao la tumbaku ambalo makampuni ya ununuzi…

Mwanafunzi TIA adaiwa kujinyonga kisa mapenzi

Mwanafunzi wa Chuo cha Uhasibu (TIA), mkoani Mtwara aliyetambulika kwa jina moja la Regan amekufa baada ya kujinyonga kwa kile kilichodaiwa ni kutokana na ugomvi wa kimapenzi. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara Nicodemus Katembo amethibitisha kutokea…

Prof: Lumumba: Kiswahili ni kitega uchumi

Na Eleuteri Mangi, WUSM, Zanzibar Prof. Patrick Lumumba amesema ukitaka kuelewa lugha ni lazima kutambua muktadha wake na Kiswahili ni kitega uchumi kinajitosheleza kisayansi kwa maendeleo ya watumiaji wa lugha hiyo. Prof. Lumumba amesema hayo Julai 5, 2023 Zanzibar wakati…