Category: Habari Mpya
MSD yashauriwa kuweka mikakati endelevu ya upatikanaji bidhaa za afya
Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Pwani (RAS), Salvera Salvatory ameishauri Bohari ya Dawa (MSD) kuwa na mikakati endelevu ya kuboresha upatikanaji wa bidhaa za afya ili kuondoa malalamiko ambayo kwa kiasi kikubwa yameanza kupungua. Salvatory ameyasema hayo wakati akifungua mkutano…
Msataafu Kikwete awapa kongole Muhimbili
Na mwandishi wetu, JAMHURI MEDIA, Dar es salaam Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ameipongeza Hospitali ya Taifa Muhimbili Upanga na Mloganzila kwa huduma nzuri wanazotoa kwa jamii na kuwataka…
DKT. Mwinyi kufungua maadhimisho ya kupinga rushwa barani Afrika
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Husein Ali Mwinyi anatarajia kuzindua Maadhimisho ya siku ya mapambano dhidi ya Rushwa barani Afrika Mkoani Arusha. Akiongea na vyombo vya Habari Jijini Arusha Mkuu wa Mkoa wa Arusha John Mongela…
Mkulima wa tumbaku ampongeza Rais Samia, aahidi kusaidiana na Serikali
Na Dvid John,Tabora Mkulima wa zao la Tumbaku wilayani Sikonge Mkoani Tabora Masoud Kilyamanda amempongeza Rais wa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa harakati anazozifanya za kuhakikisha kuwa sekta ya kilimo inanufaisha walengwa hususani zao la tumbaku ambalo makampuni ya ununuzi…
Mwanafunzi TIA adaiwa kujinyonga kisa mapenzi
Mwanafunzi wa Chuo cha Uhasibu (TIA), mkoani Mtwara aliyetambulika kwa jina moja la Regan amekufa baada ya kujinyonga kwa kile kilichodaiwa ni kutokana na ugomvi wa kimapenzi. Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara Nicodemus Katembo amethibitisha kutokea…





