JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Mwasa: Jela miaka saba ukibainika kuharibu vyanzo vya maji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Fatma Mwassa amewataka wakazi wa mkoa huo kuwa walinzi na kuheshimu mipaka ya hifadhi ya vyanzo vya maji na kwamba serikali itawachukulia hatua kali za kisheria wale wote watakao husika…

RPC Shinyanga:Tusherehekee sikukuu ya Eid El Fitri kwa utulivu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limewataka wananchi kusherehekea Sikukuu ya Eid El Fitri kwa amani na utulivu huku likiwaasa wazazi kutowaruhusu watoto wao kwenda kwenye kumbi za starehe kwani kumbi hizo zipo kwa ajili ya watu wazima na si…

Maambukizi ya ugonjwa wa malaria yashuka kwa asilimia 10

Kutokana na jitihada mbalimbali zinazofanywa na serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali maambukizi ya ugonjwa wa malaria nchini Tanzania umeshuka kutoka asilimia 18.1 kwa mwaka 2018 hadi kufikia asilimia 8.1 kwa mwaka 2022. Hali hiyo imetokana na juhudi mbalimbali zinazofanywa…

Tanzania kushirikiana na nchi za EAC kulinda rasilimali za uvuvi ziwa Victoria

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itaendelea kushirikiana na nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhakikisha rasilimali za uvuvi katika Ziwa Victoria zinalindwa ili zinufaishe jamii zinazozunguka ziwa hilo na mataifa husika kwa ujumla. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu…

Msigwa: Ripoti ya CAG ni nyenzo inayotumiwa na Serikali

Serikali imesema kuwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) inatumika kama Nyenzo kwa serikali ili kuhakikisha yale mapungufu yote yaliyobainika yanafanyiwa kazi kwa maslahi mapana ya Taifa. Hayo yamesemwa jijini Dodoma na Msemaji Mkuu wa…

Majaliwa atembelea mradi wa ujenzi kituo cha biashara cha Afrika Mashariki Ubungo jijini Dar

Baadhi ya waalikwa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipozungumza baada ya kukagua ujenzi wa Mradi wa kituo cha Biashara cha Afrika ya Mashariki kinachojengwa  na kampuni ya East  Africa Commercial  and Logistics Centre  eneo la Ubungo jijini Dar es salaam Aprili 20, 2023. (Picha…