Category: Habari Mpya
Waziri Jafo awahimiza Watanzania kutunza mazingira
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo ametoa wito kwa Watanzania kutunza mazingira na kudumisha amani. Ametoa wito huo leo Januari 08, 2023 wakati akizindua vyumba vya madarasa 12 na ujenzi wa…
Ajali yaua saba na kujeruhi kumi Bagamoyo
Watu saba wamefariki dunia na wengine kumi kujeruhiwa katika ajali ya gari ya abiria aina ya Coster iliyogongana uso kwa uso na gari ya mizigo aina ya Canter maeneo ya kiwangwa Bagamoyo leo asubuhi Januari 9, 2023. Mmoja wa majeruhi…
Rais Samia aliahidi, umma wasubiri MSA 2016 kufumuliwa
Na Stella Aron,JamhuriMedia DHAMIRA njema inayooneshwa wazi Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ni wazi kuwa itafanikisha kiu ya mchakato wa mabadiliko ya sheria ya huduma za habari nchini. Hatua hiyo inatokana na wasaidizi wa…





