JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

BoT yatoa tahadhari kuongezeka kwa udanganyifu wa fedha

Benki Kuu ya Tanzania (BoT),imebaini kuongezeka kwa udanganyifu wa fedha nchiniunaohusisha mwananchi kupokea taarifa(hati au barua pepe) inayodai kuwa ni uthibitisho wa malipo kupitia SWIFT na/au mifumo mingine ya uhamishajifedha. Mpokeaji anafahamishwa kuwa fedha zimeingizwa kwenye benki au akaunti katika…

Mlaki:Kiwango cha ufaulu elimu ya msingi Pwani kimeshuka

Na Mwamvua Mwinyi,JamhuriMedia,Pwani Kiwango Cha ufaulu kwa mwaka 2022 kimeshuka Mkoani Pwani ,kwa asilimia 1.174 ukilinganisha na matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi mwaka 2021. Akizungumzia taarifa ya tathmini ya matokeo hayo, katika kikao kazi Cha kuboresha elimu…

Serikali kufuatilia video ya mhudumu wa afya Tabora iliyosambaa mtandaoni

Kufuatia kusambaa kwa video fupi katika mitandao ya kijamii ikimuonyesha mhudumu wa afya akijibizana na mwenzake, huku mmoja akipinga matumizi ya vifaa tiba vilivyokwisha muda wake wa matumizi. Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametoa taarifa kuhusu video hiyo kuwa Timu…

Rais Samia afanya uteuzi, Kafulila apewa Ukamishna (PPP)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi leo Januari 5, 2023 kama ituatavyo Amemteua Dkt. Ellen Mkondya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Hospitali ya Taifa Muhimbili. Dkt. Mkondya ni Mkurugenzi Mtendaji wa…

Bunge la Januari kuleta mwanga wa matumaini kwa wadau wahabari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Wadau wa sekta ya habari nchini wanamatarajio makubwa ya mswada wa mabadiliko ya sheria ya habari kusomwa katika Bunge linalotarajia kuanza mwishoni mwa mwezi huu. Akizungumza na waandishi wa habari jana,Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),…

Msonde:Ukishindwa kusimamia kusoma, kuandika na kuhesabu jitathmini

Na Asila Twaha,JamhuriMedia,TAMISEMI Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu Dkt. Charles Msonde amewataka viongozi wanaosimamia elimu katika Mamlaka za Mikoa na Serikali za Mitaa kujitathmini katika ufuatiliaji wa mwenendo wa elimu…