Category: Habari Mpya
Mkurugenzi Karagwe amshukuru Rais Samia kwa ujenzi wa madarasa,hospitali
Na David John,JamhuriMedia Mkurugenzi Mtendaji wa Halmadhauri ya Wilaya ya Karagwe mkoani Kagera Michael Nzyungu amempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha nyingi kwenye halmashauri hiyo kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule mbalimbali za…
Ahukumiwa kunyongwa kwa kosa la kumnyonga mke na mtoto
Na John Walter,JamhuriMedia,Manyara Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Manyara imemuhukumu Shamswadini John (35), mkazi wa Hanang mkoani Manyara, maarufu kama Sikukuu kunyongwa hadi kufa baada ya kukutwa na hatia ya kuua kwa kukusudia ambapo amemuua mke wake aitwae Asia…
Mafia yaadhimisha miaka 61 ya Uhuru kwa kupanda miti
Mkuu wa Wilaya ya Mafia Mhandisi Martin Ntemo ameongoza wananchi kuamua kuadhimisha sherehe za miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara kwa kupanda miti na kushiriki kwenye Kongamano ambalo lilikuwa maalum kujadili changamoto mbali mbali zinazowakabili walimu wanawake pindi wanapotekeleza…
UNHCR COMMEMORATES DAFI’S 30TH ANNIVERSARY
************************** UNHCR, the UN Refugee Agency, commemorated the 30th Anniversary of the AlbertEinstein German Academic Refugee Initiative (DAFI) Scholarship Programme thatcommenced in 1992. The programme benefits more than 22,500 refugee students from 55 countries, including Tanzania. On 6 December 2022,…
Chuo cha Bahari DMI chaomba miundombinu yake ikarabatiwe
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Chuo cha Bahari Dar es Salaam, (DMI), kimeomba serikali ikipatie meli ya mafunzo kwaajili ya kuwaongezea ujuzi wahimu wa mafunzo chuoni hapo na kimeomba miundombinu ya chuo hicho ikarabatiwe ili kwenda na wakati. Ombi hilo limetolewa na…
Dawa za kulevya kilo 16.643 zakamatwa, wasanii wanaohamasisha kuchukuliwa hatua
Na Mussa Augustine. Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya( DCEA) imefanikiwa kukamata jumla ya kilo 16.643 za dawa ya kulevya zikijumuisha kilo 15.19 za heroin,gramu 655.73 za Cocaine na gramu 968.6e7 za Mathamphetamine zilizowahusisha jumla ya Watuhumiwa…





