JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Habari Mpya

Wanaohujumu mitihani kushughulikiwa

Na Mathias Canal,JamhuriMedia,Dar Serikali imeweka bayana dhaira yake ya kuchukua hatua kali za uwajibikaji kwa Maafisa Elimu wa Mikoa, Wilaya, Walimu na maafisa wengine wote wakiwemo askari ambao wamepewa jukumu la kusimamia mitihani. Hatua hizo dhidi ya wasimamizi hao wa mitihani zitahusisha…

NMB yaongoza tuzo ya mwajiri bora

BENKI ya NMB imetangazwa kuwa Mwajiri bora wa mwaka 2022 katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) jijini Dar es Salaam mwishoni mwa juma. Benki hiyo mbali na kushinda Tuzo ya mshindi wa jumla…

Mabehewa SGR yamuibua Kigwangala

Mbunge wa Nzega kupitia Chama Chama you Mapinduzi (CCM), Hamis Kigwangala, ameibua mjadala juu ya mabehewa ya SGR yaliyonunuliwa na Serikali na kuingizwa nchini hivi karibuni kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC). Kupitia ukurasa wake katika mtandao wa Twitter Kigwangala…

TARURA Ruvuma yafungua barabara na madaraja

Na Albano Midelo,JamhuriMedia, Ruvuma Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Ruvuma imefanikiwa kujenga madaraja mawili yenye thamani ya shilingi bilioni 1.3. Meneja TARURA Mkoa wa Ruvuma Mhandisi Wahabu Nyamzungu amesema serikali imetoa shilingi milioni 900 kujenga…

Viziwi wataka wakalimani hotuba za Kitaifa

Chama cha Viziwi Tanzania (CHAVITA) kimeiomba Serikali kuweka wakalimani wa lugha ya alama katika matukio muhimu ya kitaifa ili kulijumuisha kundi hilo katika michakato muhimu ya maendeleo. Akizungumza na waandishi wa habari kuelekea maadhimisho ya Siku ya Watu Wenye Ulemavu…

Mahafali ya 16 MUHAS wahitimu 1389 watunukiwa vyeti

……………………………………………………….. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdor Mpango amewatunuku vyeti wahitimu elfu moja mia tatu themanini na tisa(1,389) wa ngazi mbalimbali katika chuo Kikuu cha Afya na Sayansi shirikishi (muhus) huku kati yao wahitimu…