Category: Habari Mpya
Wanyama albino wazua gumzo
*Pundamilia, nyati, twiga albino waonekana Tarangire, Katavi *Wananchi wafurahi, wadhani ni kivutio kipya cha utalii *Wataalamu wapinga, wadai kuna tatizo kubwa na la hatari MARA Na Anthony Mayunga Nyati mweupe ameonekana ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire na kuwa…
SSP Eva Stesheni: Askari mlinzi wa amani Darfur
DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa Kwamba amani ni muhimu katika maisha ya kila siku ya binadamu ni suala lisilokuwa na ubishi. Amani ni nguzo ya maendeleo. Bila amani hakuna shughuli zozote za kijamii zinazoweza kufanyika. Bila amani maisha ni…
Taifa Stars kujiuliza kwa Algeria
Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, itakuwa na kibarua kizito mbele ya Algeria katika mchezo wake wa pili wa Kundi ‘F’ wa kusaka kufuzu kwa fainali za Mataifa ya Afrika 2023, Ivory Coast….
Nini anatakiwa kukifanya ‘Mo’?
DAR ES SALAAM Na Andrew Peter Bilionea na Mwenyekiti wa zamani wa Bodi ya Wakurungezi wa Simba, Mohammed ‘Mo’ Dewji, ameandika katika ukurasa wake wa ‘twiter’: “Tunasafisha kila sehemu ambayo inahitaji kuwekwa sawa ili turudi kwenye ubora wetu #nguvu moja.”…
Rais Samia LNG ni dili, tusaini
Na Deodatus Balile Wiki iliyopita zimekuwapo taarifa za Tanzania kuwa katika mchakato wa kusaini mkataba wa kuanza ujenzi wa kiwanda cha kuzalisha gesi ya LNG mkoani Lindi. Mkataba wenyewe ni wa dola bilioni 40, karibu Sh trilioni 70 za Tanzania. …
Mkandarasi mwendokasi pasua kichwa
DODOMA Na Mwandishi Wetu Mbunge wa Ukonga (CCM), Jerry Silaa, amelia bungeni wakati akihoji kwa nini Kampuni ya Syno Hydro inapewa zabuni za kujenga miradi mbalimbali ukiwamo wa barabara ya mwendokasi kutoka Kariakoo hadi Gongo la Mboto jijini Dar es…





