Category: Kimataifa
Kesi ya P Didy kuanza kusikilizwa mwaka 2025
Kesi ya rapa maarufu nchini Marekani Sean Comns maarufu kama P DIDDY imeamriwa kuanza kusikilizwa mwezi Mei 2025, kufuatia uamuzi wa mahakama katika kikao kilichohudhuriwa na P Diddy siku ya Alhamisi. P Diddy, akiwa amevalia sare ya gereza, aliketi kando…
Wanawake 200 Afrika hufanya kazi kiwanda cha droni Urusi zinazotumila kuishambulia Ukraine
Karibu wanawake 200 wenye miaka 18-22 kutoka barani Afrika, wamekuwa wakisajiliwa kwenda kufanya kazi Urusi, katika kiwanda kinachohusika kuunda maelfu ya droni za Iran zinazotumika kuishambulia Ukraine. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti maalumu iliyotolewa na shirika la habari la…
Bilionea Tata afariki akiwa hana mke wala mtoto
Bilionea na mfanyabiashara wa India aliyetambulika kimataifa, Ratan Tata (86) amefariki dunia Jumatano usiku baada ya kuugua kwa muda mrefu na kulazwa katika hospitali ya breach candy. Taarifa ya kifo chake imetolewa na Kampuni ya Tata aliyoiongoza kwa zaidi ya…
Jaji Mkuu Kenya kuunda jopo la majaji kusikiza kesi ya kupinga kuondolewa madarakani kwa Gachagua
Jaji Lawrence Mugambi amepeleka kesi ya kupinga kutimuliwa kwa Naibu Rais Rigathi Gachagua kwa Jaji Mkuu Martha Koome ili kuunda jopo la majaji litakalosikiza na kuamua suala hilo. Katika uamuzi wake wa Ijumaa asubuhi, Jaji Mugambi alisema ombi hilo linaibua…
Rubani afariki dunia angani
Ndege ya Shirika la Ndege la ‘Turkish Airlines’ lenye makao makuu yake nchini Uturuki imeripotiwa kutua kwa dharura katika uwanja wa ndege wa John F. Kennedy jijini New York nchini Marekani mara baada ya nahodha wa ndege hiyo, Ilcehin Pehlivan…
Watu 339 wafariki dunia kufuatia mvua kubwa Niger
Mvua zinazoendelea kunyesha nchini Niger zimesababisha vifo vya watu 339 na kuwaacha zaidi ya watu milioni 1.1 bila makaazi rasmi tangu mwezi Juni. Waziri wa mambo ya ndani mwezi uliopita alifahamisha kuwa takriban watu 273 walipoteza maisha na wengine 700,000…





