JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Papa Francis azitaka mamlaka kukomesha mauaji mashariki mwa Congo

Baada ya sala ya Jumapili katika Kanisa Katoliki Jumapili, Papa Francis ametoa wito tena wa ulinzi wa raia mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo baada ya mashambulizi ambayo yameua mamia katika wiki za hivi karibuni. “Habari za kusikitisha za…

Netanyahu alivunja Baraza lake la Vita

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amelivunja Baraza lake la Vita ambalo husimamia operesheni za kijeshi huko Gaza. Mapigano yanaendelea pia kuripotiwa katika ardhi ya Palestina huku idadi ya vifo pia ikiongezeka. Taarifa ya kuvunjwa kwa baraza hilo la vita…

Rais Tinubu wa Nigeria aanguka katika hafla ya kitaifa

Rais, 72, alianguka alipokuwa akipanda ngazi kwenye gari ambalo lilipaswa kumpeleka karibu na Bustani ya Eagle Square katika mji mkuu, Abuja. Ilibidi asaidiwe kusimama. Mmoja wa wasaidizi wake alielezea kama “hatua mbaya” na akasema rais ameweza kuendelea na programu iliyobaki….

Malawi yatangaza siku 21 za maombolezo kifo cha Makamu wa Rais

Malawi imetangaza siku 21 za maombolezo kufuatia kifo cha Makamu wa Rais wa nchi hiyo Saulos Chilima na watu wengine nane kilichosababishwa na ajali ya ndege.  Siku ya Jumatatu, Chilima na ujumbe wake walikuwa safarini kuelekea kaskazini mwa nchi hiyo…

Breaking News: Makamu wa Rais wa Malawi afariki Dunia

Na Isri Mohamed Mwili wa Makamu wa Rais wa Malawi, Saulos Chilima na watu wengine tisa imepatikana baada ya vikosi vilivyokuwa vikiitafuta ndege iliyowabeba kufanikiwa kupata ndege hiyo huku wakiwa wamefariki. Baada ya kuthibitishwa kwa taarifa hiyo, Rais wa Malawi,…

UNICEF: Karibu watoto milioni 400 wananyanyasika majumbani

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), limesema makadirio ya watoto milioni 400 walio chini ya umri wa miaka mitano wanakabiliwa na manyanyaso majumbani. Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF), limesema makadirio ya watoto milioni…