JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Pakistan yafanya jaribio la pili la kombora la masafa marefu

Pakistan imefanya jaribio la pili la kombora la masafa marefu huku Iran ikimtuma waziri wake wa mambo ya nje kujaribu kuyapatanisha mataifa hayo mawili yenye silaha za nyuklia. Taarifa ya Pakistan iliyotolewa hivi leo imeeleza kuwa jeshi la nchi hiyo…

Netanyahu aapa kulipa kisasi baada ya kombora la Houthi

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kulipiza kisasi dhidi ya Wahouthi baada ya kombora lililorushwa na kundi hilo kupiga uwanja wa ndege wa Israel. Katika video iliyowekwa kwenye mitandao ya kijamii, Netanyahu alitishia kufanya shambulio akisema: “Tulishambulia siku za…

Trump aamuru kufunguliwa tena kwa jela ya ‘watukutu’

Rais wa Marekani Donald Trump ameamuru kufunguliwa tena na kutanuliwa kwa jela kubwa ya Alcatraz iliyokuwa ikitumika kuwafunga wahalifu waliotiwa hatiani kwa makosa ya kutisha. Jela hiyo iliyokuwapo kwenye jimbo la California ilifungwa zaidi ya miaka 60 iliyopita na hivi…

Israel yaanza kuwaita askari wa akiba kuimarisha operesheni zake Gaza

JESHI la Israel limeanza kuwaita makumi kwa maelfu ya askari wa akiba ili “kuimarisha na kupanua” operesheni zake huko Gaza. Jeshi la Ulinzi la Israel (IDF) lilisema “linaongeza shinikizo” kwa lengo la kuwarejesha mateka waliokuwa wameshikiliwa huko Gaza na kuwashinda…

Watu 11 wauawa wakiwemo 8 wa familia moja Ukanda wa Gaza

Mashambulizi ya Israel yaliyoelekezwa katika kambi ya wakimbizi katika mji wa Khan Younis yamesababisha vifo vya watu wasiopungua 11. Miongoni mwa waliouwawa ni watoto watatu. Msemaji wa Idara ya ulinzi wa raia ya Gaza imesema mapema leo kuwa watu wanane wa…

Usalama nchini Sudan Kusini wazidi kuzorota

Balozi za Kanada, Ujerumani, Uholanzi, Norway, Uingereza, Marekani na Umoja wa Ulaya zimesema hali ya kisiasa na usalama ya Sudan Kusini “inazidi kuwa mbaya” tangu kumalizika kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo Katika taarifa ya pamoja, balozi hizo…