Category: Kimataifa
Nchi za NATO kuongeza bajeti kwa ajili ya ulinzi
VIONGOZI wa nchi wanachama wa Jumuiya ya kijeshi ya NATO wameidhinisha rasmi ongezeko la asilimia tano ya Pato la Taifa kwa ajili ya matumizi ya ulinzi kwenye mkutano wao wa kilele uliofanyika mjini The Hague, Uholanzi. Nchi wanachama wa jumuiya…
Gen-Z Kenya waandamana kuwakumbuka wenzao 60 waliouawa 2024
Maelfu ya waandamanaji wamejitokeza katika miji mikuu nchini Kenya kukumbuka tukio la Juni 25 mwaka uliopita ambapo wenzao 60 waliuawa na Polisi wakati wa maandamano ya kuupinga Mswada wa Fedha mwaka 2024. Hata hivyo Polisi walilazimika kutumia mabomu ya kutoa…
Zimamoto 444 washiriki kuzima moto wa nyika nchini Ugiriki
Mamia ya maafisa wa zimamoto wanaendelea kupambana kwa siku ya tatu mfululizo na moto mkubwa wa nyika uliosambaa katika maeneo mbalimbali ya kisiwa cha Chios, nchini Ugiriki, baada ya kutangazwa hali ya dharura. Juhudi za kuudhibiti moto huo zimehusisha jumla…
Bei ya mafuta yashuka baada ya Israel, Iran kusitisha mapigano
Bei ya mafuta imeshuka kwa karibu 5% Jumanne baada ya Israel kukubali kusitisha mapigano kati yake na Iran yaliyoendelea kwa karibu wiki mbili. Bei ya kimataifa ya mafuta ghafi ya Brent ilishuka hadi $68 kwa pipa ilakini ikaimarika baada ya…
Trump: Israel na Iran zaafikiana kusitisha mapigano
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Israel na Iran wamekubaliana kusitisha mapigano, hatua ambayo itaanza kutekelezwa ndani ya saa 24 zijazo na ambayo italimaliza mzozo huu uliodumu kwa siku 12. Rais wa Marekani Donald Trump amesema mapema siku ya Jumanne…
Urusi imetekeleza wimbi jipya la mashambulizi Kyiv
Mamlaka za Ukraine zimesema mapema leo kuwa Urusi imetekeleza wimbi jipya la mashambulizi ya droni na kuulenga mji mkuu Kyiv. Tymur Tkachenko, mkuu wa utawala wa kijeshi wa Kyiv amesema watu kadhaa wamejeruhiwa kufuatia mashambulizi hayo. Hayo yanajiri baada ya…