Category: Kimataifa
Tanzania,India kufungua fursa mpya za biashara
Tanzania na India zimeonesha dhamira ya kufanya kazi kwa karibu katika kutafuta njia bora za kufungua fursa mpya za biashara na uwekezaji kwa maslahi ya pande zote mbili. Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi…
Waziri Mkuu wa Uingereza atozwa faini kwa kutokufunga mkanda
Waziri Mkuu wa Uingereza Rishi Sunak amepigwa faini kwa kutokufunga mkanda akiwa ndani ya gari lililokuwa katika mwendo. Waziri Mkuu huyo ametozwa faini mara baada ya kujirekodi video akiwa ndani ya gari bila kufunga mkanda na kuituma katika ukurasa wake…





