Category: Kimataifa
Kifo kingine chahusishwa na Ebola Uganda
Wizara ya Afya ya Uganda inasema mtoto wa mwaka mmoja anashukiwa kufariki kutokana na Ebola katika wilaya ya kati ya Mubende siku ya Jumanne. Alikuwa miongoni mwa watu kumi na moja waliowekwa karantini kufuatia kisa kilichothibitishwa cha mwanamume mwenye umri…
UN:Tanzania ya 86 kati ya nchi 163 zenye amani duniani
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres, amesema kuwa bado kuna maeneo mengi ulimwenguni yanakabiliwa na kushindwa kwa suala la amani. Ameyasema hayo kupitia ujumbe wake wa siku ya kimataifa ya amani alipokuwa akihutubia umoja huo huko jijini…
Serikali yatoa wito kwa wadau wa afya kutatua changamoto
Na Mwandishi wetu – New York, Marekani Serikali kupitia Wizara ya Afya, imewataka Wadau wa Sekta ya Afya kuimarisha ushirikiano ili kutatua changamoto zinazokabili eneo la rasilimali watu wa sekta ya afya. Wito huo umetolewa na Waziri wa Afya Ummy…
Makamu wa Rais azungumza na Watanzania waishio Marekani
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Jumuiya ya watanzania waishio Jijini New York nchini Marekani, Mazungumzo yaliofanyika katika Ukumbi wa Ubalozi wa Tanzania Jijini New York. Akizungumza na Watanzania…