Category: Kimataifa
Trump atoa wito kwa Urusi kusitisha mashambulizi Ukraine
Rais wa Marekani Donald Trump ametoa wito kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi kusitisha mashambulizi dhidi ya Ukraine, saa chache baada ya Urusi kuishambulia Ukraine kwa makombora na droni. Rais wa Marekani Donald Trump ametoa wito kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi…
China yarejesha ndege za Boeing ilizoagiza Marekani kwa ushuru
China imerudisha ndege ilizoagiza kutoka Marekani ikiwa ni tukio la hivi karibuni la kulipiza kisasi ushuru wa Trump, mkuu wa kampuni ya kutengeneza ndege ya Boeing amesema. Kelly Ortberg alisema ndege mbili tayari zimerudishwa na nyingine itafuata baada ya mvutano…
Urusi yaishambulia Kyiv kwa kombora na droni – Meya
Takriban watu tisa wameuawa na wengine 60 kujeruhiwa, wakiwemo watoto, katika shambulio la usiku la kombora la Urusi na ndege zisizo na rubani kwenye mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, amesema afisa wa eneo hilo. Meya wa Kyiv, Vitali Klitschko amesema…
Congo na M23 wakubali kutafuta amani
Nchi ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo na waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda, siku ya Jumatano waliahidi katika taarifa iliyotolewa baada ya mazungumzo nchini Qatar kutafuta amani baada ya ghasia kupamba moto mwezi Januari huko Mashariki mwa Congo,…
Trump: Ukraine inachelewesha kumalizika kwa vita
Rais wa Marekani Donald Trump amemtupia lawama rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky kwa kukataa kukubali kulipoteza eneo la Crimea ambalo tayari linakaliwa kimabavu na Urusi ili kumaliza vita baina ya nchi hizo mbili. Rais wa Marekani Donald Trump amemtupia lawama…
Upinzani Uturuki waitisha maandamano nje ya bunge
Upinzani nchini Uturuki, umewataka wafuasi wake kukusanyika nje ya majengo ya bunge mjini Ankara leo Jumatano, kupinga marufuku iliyotangazwa rasmi dhidi ya mikusanyiko. Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani cha CHP, Ozgur Ozel, amesema atahutubia nje ya bunge wakati nchi…