JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Kimataifa

Vifo Gaza vyafikia 77 kufuatia mashambulizi ya Israel

Idadi ya vifo kutokana na mashambulizi ya angani ya Israel huko Gaza imefikia 77, saa chache baada ya kutangazwa kwa makubaliano ya kusitisha mapigano na kuwaachia mateka. Wizara ya Afya ya Gaza imesema watu 81 wameuawa katika kipindi cha saa…

Trump atafuta njia ya kuzuia kufungwa kwa Tik Tok

Rais mteule wa Marekani Donald Trump atatafuta njia ya kuzuia kufungwa kwa TikTok kabla ya marufuku dhidi ya programu hiyo kuanza kutekelezwa wikendi hii, mshauri wake ajaye kuhusu usalama wa taifa amesema. Mbunge Mike Waltz wa Florida, alisema Trump ataingilia…

CHAN 2024; Wasemavyo wadau wa soka kuhusu droo, kuahirishwa kwa michuano

Shirikisho la soka barani Afrika CAF limetangaza droo ya michuano ya CHAN inayoandaliwa mwaka huu kwa ushirikiano wa nchi ya Kenya,Tanzania na Uganda. Droo hiI ilitangazwa siku moja tu baada ya michuano hiyo kuahirishwa kutoka mwezi Februari hadi Agosti mwaka…

Biden atoa hotuba ya kuaga na kuhofia utawala ujao wa Trump

Rais wa Marekani Joe Biden anayetarajia kukabidhi madaraka kwa rais mteule Donald Trump Januari 20, ametoa Jumatano jioni hotuba ya kuaga na kuelezea wasiwasi wake kwa utawala ujao. Katika hotuba hiyo, Biden amesema Marekani inaangukia mikononi mwa matajiri wachache ambao…

Makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza yapongezwa kimataifa

Viongozi mbalimbali wa dunia wapongeza makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza na kuachiliwa kwa mateka ambayo yataanza kutekelezwa rasmi Jumapili mchana. Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi, ametoa wito wa kuwasilishwa kwa msaada wa haraka wa kibinadamu katika Ukanda wa Gaza,…

Korea Kaskazini yafyatua makombora ya majaribio

Serikali ya Korea Kusini imesema kuwa Korea Kaskazini imefyatua makombora ya majaribio ya masafa mafupi kuelekea baharini, huku rais mteule wa Marekani, Donald Trump, akiwa karibu kuingia madarakani. Tukio hili limetokea wakati Waziri wa Mambo ya Nje wa Japan, Takeshi…