Category: MCHANGANYIKO
Majizo azindua kampeni za kuinua na kusaidia vijana kupata fursa za ajira
Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi Mtendaji wa Efm na TV E, Fransis Siza (Majizo) amezindua , kampeni mbili za kuinua na kusaidia vijana nchini ili kupata fursa za ajira na kuibua vipaji vyao. Ameyasema hayo,wakati alipokuwa akizindua…
Rais Samia kufanya ziara Uturuki
Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Rais Dk.Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara nchini Uturuki kwa lengo la kukuza uhusiano wa kidiplomasia ya siasa, uchumi, na biashara kati ya nchi hizo. Akizungumza leo Aprili, 15 jijini Dar es Salaam…
Dk Biteko azitaka TARURA, TANESCO kufikisha huduma zake Ngorongoro
📌Aipongeza TBC kwa maboresho makubwa ya miundombinu 📌Usikivu wa radio za TBC kufikia asilimia 92 Mwaka 2024/2025 📌Asisitiza maamuzi sahihi uchaguzi Serikali za Mitaa 📌Waziri Nape asisitiza umuhimu Mawasiliano kwa jamii 📌Asema Watanzania wanasimama na Rais Samia Naibu Waziri Mkuu…
Serikali hutenga milioni 250 kupitia TBS kuwahudumia wajasiriamali wadogo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali hutenga shilingi milioni 250 kwa ajili ya wahudumia wajasiriamali wadogo nchini bila malipo yoyote kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Hayo yamebainishwa leo Aprii 15,2024 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu…
TAKUKURU, ZAECA kuimarisha ushirikiano mapambano dhidi ya rushwa
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Katika kipindi cha miaka 60 ya Muungano, kwa kuzingatia awamu zote zilizopita na hii inayoongozwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Serikali inaendelea kutekeleza jitihada za kuzuia na kupambana na rushwa ili wananchi waweze kupata huduma…
Ripoti ya CAG yabaini madudu TTCL, ATCL na TRC
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali kwa mwaka 2022/2023 imeonesha mashirika ya umma 34 yaliripotihasara au nakisi kwa miaka miwili mfululizo ambapo mashirika haya yalijumuisha mashirika yanayojiendesha kibiashara 11 na mashirika yasiyo…





