JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Her Initiative watoa msaada kwa wasichana Kisarawe

Na Aziza Nagwa, JamhuriMedia, Kisarawe Shirika lisilo la kiserikali linalowasaidia wasichana kujiinua kiuchumi, Her Initiative imewapatia pesa na vifaa wasichana walio nje ya shule katika Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani, ili waweze kujinufaisha kiuchumi. Akizungumza katika hafla hiyo, Mwakilishi wa…

VETA yajipanga kukuza ubunifu na ujuzi wa ufundi kufikia Dira ya Taifa 2050

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma MWENYEKITI wa Bodi ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Profesa Sifuni Mchome amesema VETA itaendelea kuhakikisha Watanzania wa ngazi mbalimbali wanapata elimu na mafunzo ya ufundi ili kuwawezesha kujiajiri, kuajiriwa na…

Sekta ya mkonge yapaa, wawekezaji watakiwa kuchangamkia fursa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma WATANZANIA na wawekezaji nchini wametakiwa kujitokeza kuchangamkia fursa zinazotokana na zao la mkonge, baada ya kuongezeka kwa mahitaji ya mbegu, mitambo ya usindikaji na bidhaa zinazotokana na zao hilo. Akizungumza kwenye Maonesho ya Wakulima na…

Afya ya udongo muhimu kabla ya kutumia mbolea

Na Mwandishi Wetu, JmahuriMedia, Morogoro Wakulima wameshauriwa kujenga tabia ya kupima afya ya udongo kwa ajili ya kujua aina ya virubutisho vilivyopo kwenye udongo kabla ya kuanza kutumia mbolea. Ofisa Ugani wa Minjingu Mines & Fertilizer Ltd Tanzania, Franks Kamhabwa…

Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka minne

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbozi Mahakama ya Wilaya ya Mbozi imemuhkumu kifungo cha maisha mfanyabiashara Athumani Mohamed Mtimbwa (35) kwa kosa la kumvuta na kumuingiza katika kibanda chake cha biashara na kumbaka mwanafunzi wa darasa la awali mwenye umri wa…

Tanzania kuendelea kuimarisha miundombinu kwa ajili ya nchi zisizo na mlango wa bahari

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imethibitisha dhamira ya kuendeleza miundombinu endelevu na mifumo bora ya usafirishaji kwa Nchi Zisizo na Mlango wa Bahari (LLDCs). Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli nchini (TASAC) Bw. Mohammed…