Category: MCHANGANYIKO
RUVU SHOOTING YAGOMA KUFUNGWA NA YANGA TAIFA
Ruvu Shooting imeilazimisha Yanga sare ya mabao 2-2 kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam Yanga walikuwa wa kwanza kujipatia bao katika dakika ya 19 ya mchezo kupitia kwa Matheo Anthony kabla ya Ruvu Shooting kusawazisha ikiwa ni dakika ya…
ARSENAL WAPATA UDHAMINI RWANDA
RWANDA imeingia mkataba wa miaka mitatu na Arsenal ambapo kwenye mabega ya jezi zao kutakuwa na ujumbe wa ‘Visit Rwanda’. Ujumbe huo ambao unamaanisha tembelea Rwanda, utakuwa kwenye jezi za kikosi cha kwanza pamoja na timu ya vijana na ile…
“DEAL DONE” MZEE WENGER AMKABIDHI RASMI MIKOBA UNAI EMERY
Unai Emery ametangazwa kuwa meneja mpya wa Arsenal na afisa mkuu mtendaji wa klabu hiyo Ivan Gazidis. Bw Gazidis amesema Emery amepewa fursa ya kipekee ya kuongoza “sura mpya” yaklabu hiyo ya England. Emery, 46, amejiunga na Gunners baada ya…
Chini ya Kapeti, Meneja wa Chelsea Antonio Conte Kuondoka Chelsea
Meneja wa Chelsea Antonio Conte anatarajiwa kuondoka Chelsea kwa saa 48 zijazo na nafasi yake huwenda ikachukuliwa na Meneja wa zamani wa Barcelona Luis Enrique.
Andres Iniesta Atandika Daluga Barcelona
Andres Iniesta amekamilisha huduma yake ya kuichezea Barcelona katika mechi ambayo Barcelona imewaadhibu Real Sociedad wakati wa mechi za mwisho za La Liga. Iniesta ameagwa kishujaa kwani mashabiki waliunda maandishi ya kumuaga, uwanja ukawashwa taa maalumu kwa ajili yake na…
Njombe Mji FC Kubaki Ligi Kuu ni Kudra za Mwenyezi Mungu tu
Kikosi cha Mtibwa Sugar kimepeleka maumivu mjini Njombe kwa kuifunga Njombe Mji FC bao 1-0 na kuondoa rasmi ndoto za kuendelea kusalia kunako Ligi Kuu Bara msimu ujao. Bao pekee la Mtibwa katika mchezo huo uliopigwa Uwanja wa Sabasaba mjini…





