Category: MCHANGANYIKO
Mongela karibu Bukoba, tatua migogoro ya ardhi
Wiki tatu zilizopita, Rais Jakaya Kikwete alimteua John Mongela kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Wakenya, NGOs wanavyoivuruga Loliondo
*Mkutano Mkuu wa Kata Oloipir watoa tamko
*Dk. Mary Nagu aandikiwa waraka maalumu
Mafanikio yana gharama!
David O. Oyedepo anatajwa kuwa ndiye mchungaji tajiri kuliko wote duniani. Ndiye mwanzilishi wa Kanisa la Winners Chapel International, kanisa ambalo linatajwa kumiliki jengo la kanisa kubwa kuliko yote duniani, likiingiza watu 50,400 kwa mara moja. Jengo hili Ota nje kidogo ya jiji la Lagos la Nigeria na ndiyo Makao Makuu ya Kanisa hilo duniani.
Yah: Ningependa Rais ajaye afanye yafuatayo?
Wiki jana niliandika barua kama hii nikisema huyu ndiye mwenye sifa za kuwa Rais wa awamu ya tano, niliainisha sifa chache kutokana na ujinga wangu, sifa ambazo baadhi ya watu wanaweza kusema kwa utaratibu wa maisha ya sasa ya utandawazi siyo rahisi kumpata kiongozi mwenye sifa hizo.
Ujana, uzee sio sifa za kuwa Rais wa Tanzania
Ni Kitambo sasa, Watanzania wamo katika fikra na harakati za kumpata Rais mpya hapo mwakani, kwa kipindi cha miaka mitano ijayo baada ya Rais wa sasa Profesa Jakaya Mrisho Kikwete kukamilisha muda wake wa uongozi na utawala wa miaka kumi.
Huduma mbovu za jamii zitaangusha CCM
Tunapozungumzia huduma za jamii huwa tunazungumzia masuala ya elimu, afya ,maji, umeme, huduma kwa wazee, huduma kwa walemavu na kadhalika.