Category: MCHANGANYIKO
Ole kwa mabenki!
Miezi kadhaa nyuma nilikuwa safarini katika moja ya miji iliyopo Nyanda za Juu Kusini. Nilipofika stendi kuna kitu kimoja kilinivutia na nikaamua kukitafakari kwa umakini zaidi.
Jifunze namna ya kuunda kampuni
Yah: Kipi kiwe kigezo cha urais kwa sasa Tanzania?
Mwaka 1995, Mwalimu Nyerere alisimama katika majukwaa ya kuongea na wananchi juu ya kiongozi safi na anayefaa kuiongoza nchi yetu katika awamu ya tatu, alisimama akaongea mengi sana ambayo mengine hadi leo hayajafanyiwa kazi na awamu zote zilizokuwapo na kupita.
Miaka 69 ya Umoja wa Mataifa, dunia iko salama?
Ijumaa iliyopita Oktoba 24, mwaka huu ulimwengu uliadhimisha miaka 69 tangu kuanzishwa Jumuiya ya Umoja wa Mataifa (UN) huko New York nchini Marekani. Ilikuwa ni baada ya Vita Kuu vya Pili ya Dunia kumalizika (1939-1945).
Ombwe kamwe halikubaliki
Mwenyezi Mungu alipoumba dunia yetu alipanga kila kitu kujiendesha kwa namna ya ajabu. Viumbehai na visivyokuwa hai vyote vilipangiliwa kimaajabu kabisa kwa kadiri ya huo utaratibu wa Muumba wetu.
Athari za Serikali kupuuza vyombo vya habari
Sisi sote tunatarajia vyombo vya habari na mchango wake wa Taifa letu. Kwa jumla vyombo vya habari hufanya kazi tatu. Huelimisha, huchochea maendeleo na huburudisha. Lakini pia vyombo vya habari hupunguza tatizo la ajira. Hutoa ajira.
- Wananchi wafurahishwa na elimu ya PBP Maonesho ya Utamaduni
- NMB, Bunge wachochea hamasa ya AFCON 2027
- Puma Energy Tanzania yapongwezwa kwa huduma na gawio kwa Serikali
- CMT yawataka wawekezaji kutumia baraza kutatua migogoro kwa haraka
- NEEC yawataka wananchi Kahama kuchangamkia fursa za kituo cha Mwendakulima
Habari mpya
- Wananchi wafurahishwa na elimu ya PBP Maonesho ya Utamaduni
- NMB, Bunge wachochea hamasa ya AFCON 2027
- Puma Energy Tanzania yapongwezwa kwa huduma na gawio kwa Serikali
- CMT yawataka wawekezaji kutumia baraza kutatua migogoro kwa haraka
- NEEC yawataka wananchi Kahama kuchangamkia fursa za kituo cha Mwendakulima
- Mfumo wa PBPA waleta unafuu wa mafuta nchini
- Msajili wa Hazina ataka mageuzi makubwa TBC
- Bodi ya REB yaridhishwa na usambazaji umeme kisiwani Jibondo
- TBS Yateketeza Tani 3.4 za Unga wa Mahindi usiokidhi viwango
- NMB, Bunge kuwakutanisha zaidi ya 1,000 michezoni Dodoma
- TPLB yatangaza tarehe ya kuanza kwa msimu wa NBC Premier League 2026/2027
- Ushirikiano wa NHIF na ZHSF wavutia Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi
- GCLA endeleeni kuwajengea uwezo wadau wa tiba asilia
- 11 mbaroni tuhuma za wizi wa miundombinu ya TTCL
- Waziri Kiikwete : Somalia imekuja kujifunza mafanikio ya matumizi ya mifumo ya kidijitari