Category: MCHANGANYIKO
Malinzi: Uwanja wa Kaitaba unarekebishwa
Chama cha Soka mkoani Kagera kimewaondoa wasiwasi mashabiki wa mchezo huo mkoani humo kuhusu kasoro za Uwanja wa Kaitaba, kikisema unafanyiwa marekebisho uweze kutumika wakati wa mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara zitakazoanza hivi karibuni Agost 24 mwaka huu.
Mabaraza ya Katiba yadai uhuru wa habari
Leo kwa makusudi nimeamua nijadili mada hii sambamba na mada iliyotangulia hapo juu. Pamoja na matukio yanayoendelea ya uhalifu niliyoyajadili kwa kina kwenye safu yangu ya Sitanii, nimeona yaende sambamba na suala la Haki ya Kupata Habari.
Wakulima wa tumbaku waibiwa kitaalamu
Viongozi wa vyama vya ushirika mkoani Ruvuma, wanatumia hesabu za kisayansi kuwaibia wakulima mabilioni ya shilingi, hali iliyozaa mtafaruku mkubwa. Chama Kikuu cha Ushirika Songea, Namtumbo (SONAMCU) kimesambaratishwa baada ya viongozi kufukuzwa uongozi katika vyama vya msingi kwa tuhuma ya kuwaibia fedha wakulima wa tumbaku.
Wauza ‘unga’ waanza kutajwa
Wakati Watanzania wengi wakiwa wameamua kuwaanika hadharani nguli wa biashara ya dawa za kulevya, Balozi wa Tanzania nchini China, Philip Marmo, naye amepasua ukweli wa mambo akisema hali inatisha.
Watu 10,262 wakacha ARVs
Watu 10,262 wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi mkoani Mwanza, hawajulikani waliko kwa zaidi ya miezi mitatu sasa baada ya kutohudhuria kliniki ya kutoa dawa hizo.
Tutelekeze wabunge, tuwawezeshe polisi
Wiki hii nimewaza na kuwazua. Kwa furaha nimepokea mrejesho kutoka kwenu wasomaji wangu. Hakika nimefurahi jinsi mlivyolikubali gazeti JAMHURI, na jinsi mawazo tunayoyatoa mnavyoyaunga mkono. Nasema asanteni sana na mkihisi tumekosea, msisite kutusahihisha.
Habari mpya
- Sheria ya NHIF kupanua wigo wa wanachama na kuboresha huduma
- NMB yahimiza matumizi ya teknolojia kukuza biashara
- Mkuranga watakiwa kulinda miundombinu ya gesi asilia
- Wananchi wafurahishwa na elimu ya PBP Maonesho ya Utamaduni
- NMB, Bunge wachochea hamasa ya AFCON 2027
- Puma Energy Tanzania yapongwezwa kwa huduma na gawio kwa Serikali
- CMT yawataka wawekezaji kutumia baraza kutatua migogoro kwa haraka
- NEEC yawataka wananchi Kahama kuchangamkia fursa za kituo cha Mwendakulima
- Mfumo wa PBPA waleta unafuu wa mafuta nchini
- Msajili wa Hazina ataka mageuzi makubwa TBC
- Bodi ya REB yaridhishwa na usambazaji umeme kisiwani Jibondo
- TBS Yateketeza Tani 3.4 za Unga wa Mahindi usiokidhi viwango
- NMB, Bunge kuwakutanisha zaidi ya 1,000 michezoni Dodoma
- TPLB yatangaza tarehe ya kuanza kwa msimu wa NBC Premier League 2026/2027
- Ushirikiano wa NHIF na ZHSF wavutia Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi