Category: MCHANGANYIKO
Tanzania yapongezwa katika juhudi za mabadiliko ya mkutano nishati mkutano wa ZIMEC 2026
Kitwe , Zambia Rais wa Jamhuri ya Zambia Dkt. Haikande Hichilema amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi mbalimbali anazofanya katika kutekeleza Ajenda ya Mabadiliko ya Nishati ( Energy transition) Barani Afrika. Rais,…
Fanyeni kazi kwa bidii, ushirikiano na ubunifu kuboresha utoaji huduma kwa wananchi – Prof. Shemdoe
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM– TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe amewataka watumishi wa OWM- TAMISEMI kufanya kazi kwa bidii, upendo, ushirikiano, pamoja na ubunifu katika utendaji…
HESLB yatilia mkazo PPP kutanua wigo wa ufadhili wa wanafunzi
Na Dk. Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Elimu ni gharama. Elimu ina mahitaji mengi ambayo yanahitaji fedha ili kuyakamilisha ili kupata utulivu wa kujifunza darasani. Serikali inasimamia na kutekeleza kikamilifu Sera ya Elimumsingi bila ada ambapo hutumia fedha nyingi kuwezesha upatikanaji…
Wanafunzi sekondari Mnazi Mmoja washauriwa kuwa mabalozi wa haki za mlaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TUME ya Ushindani (FCC) leo Machi 26, 2026 imetoa elimu kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mnazi Mmoja iliyopo jijini Dar es Salaam kuhusu kumlinda mlaji, ikiwemo haki na wajibu wa mlaji pamoja…
PDPC kuchukua hatua kali kwa taasisi zinazokusanya taarifa binafsi zisizosajiliwa
Zimesalia siku chache kabla ya kufikiwa kwa ukomo wa usajili wa hiari kwa taasisi zinazokusanya na kuchakata taarifa binafsi nchini. Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imetangaza kuwa ifikapo tarehe 9 Aprili mwaka huu, itaanza kuchukua hatua kali za…
Rais Dk Samia akishiriki Kikao cha Baraza la Uongozi la Umoja wa Afrika njia ya mtandao
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambaye pia ni Makamu wa Pili wa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika (AU), akishiriki Kikao cha Baraza la Uongozi la Umoja wa Afrika (African Union Bureau of Assembly)…





