JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Viongozi waandamizi sekta ya umma barani Afrika kutoka nchi 9 za kiafrika wakutana Arusha

NanHappy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha VIONGOZI waandamizi wa sekta ya umma barani Afrika kutoka nchi 9 za kiafrika wamekutana jijini Arusha kwa siku tano kwenye programu ya mafunzo ya uongozi kwa viongozi wa Afrika ambayo yamelenga kuwapa ujuzi, mbinu za ubunifu…

Wananchi watakiwa kutembelea banda la TIRA kupata elimu

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Wananchi wametakiwa kutembelea banda la Mamlaka ya usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) katika maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya nanenane Njiro kwa ajili ya kupata elimu juu ya huduma mbalimbali za bima zinazotolewa na…

Mhandisi Saidy: Nishati safi kwa kila mtu inawezekana

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia , Dodoma MKURUGENZI Mkuu wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Mhandisi, Hassan Saidy amesema inawezekana hadi mwaka 2034 Watanzania zaidi ya asilimia 80 wakawa wanatumia nishati safi ya kupikia kwa kuwa Serikali imeweka mipango madhubuti sambamba…

Waandishi watakiwa kuhamaisha ufugaji nyuki

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waandishi wa habari nchini wametakiwa kutumia taaluma yao kutangaza elimu ya ufugaji wa nyuki kwa sababu mwamko wa ufugaji huo bado uko chini. Akizungumza na waandishi wa habari waliohudhuria mafunzo ya ufugajinyuki yaliyoandaliwa…

Her Initiative watoa msaada kwa wasichana Kisarawe

Na Aziza Nagwa, JamhuriMedia, Kisarawe Shirika lisilo la kiserikali linalowasaidia wasichana kujiinua kiuchumi, Her Initiative imewapatia pesa na vifaa wasichana walio nje ya shule katika Wilaya ya Kisarawe, mkoani Pwani, ili waweze kujinufaisha kiuchumi. Akizungumza katika hafla hiyo, Mwakilishi wa…

VETA yajipanga kukuza ubunifu na ujuzi wa ufundi kufikia Dira ya Taifa 2050

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma MWENYEKITI wa Bodi ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), Profesa Sifuni Mchome amesema VETA itaendelea kuhakikisha Watanzania wa ngazi mbalimbali wanapata elimu na mafunzo ya ufundi ili kuwawezesha kujiajiri, kuajiriwa na…