JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Manispaa ya Mji Kibaha kufungua shule mpya tatu za sekondari -Dk Shemwelekwa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MANISPAA ya Mji Kibaha, mkoani Pwani Pwani, imejipanga kufungua shule mpya tatu za sekondari na kununua madawati 2,000 ikiwa ni miongoni mwa maandalizi ya kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2026. Mkurugenzi wa Manispaa…

Jumuiya ya Wazazi yaeleza sababu Samia kuchaguliwa

Na Kulwa Karedia, Jamhuri Media-Kigoma Jumuiya ya Wazazi ya Chama cha Mapinduzi Taifa imeleeza sababu za mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan kushinda uchaguzi mkuu ujao. Imesema sababu kubwa ni maendeleo makubwa yanayoonekana maeneo mbalimbali. Akizungumza wakati wa…

Baba Levo aunguruma kampeni za Samia, asema mfupa mgumu kwake ni kama biskuti

Na Kulwa Karedia, Jamhuri Media- Kigoma Mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini, Clayton Chipando maarufu Baba Levo (CCM), ameunguruma mbele ya mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan. Akitunia.zaidi ya dakika 11 jukwaani, ameshusha mambo mazito kuhusu Jimbo…

Waandishi waandamizi wajifunza mapinduzi ya teknolojia China

Na Mwandishi Wetu, Beijing, China Waandishi wa habari waandamizi kutoka Tanzania, Zimbambwe, Sudani Kusini, Ivory Coast and Uturuki wameshiriki mafunzo kwa vitendo nchini China hivi karibuni.Mafunzo hayo yalihusu maendeleo ya teknolojia na mapinduzi yake ili kuleta matokeo chanya kwenye sekta…

Mpango asema Samia ameitendea haki Ilani ya CCM

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Buhigwe Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema ameitendea haki Ilani ya uchaguzi ya chama hicho. Dk Mpango ametoa kauli hiyo leo Septemba 13 wilayani…

Samia apigia chapuo zao la kahawa Buhigwe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Media, Buhigwe Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema ataboresha sekta ya kilimo kupitia zao tangawizi. Akihutubia mkutano wa kampeni wilayani Buhigwe mkoani Kigoma leo Septemba 13,2025, Samia amesema serikali imepanga kujenga…