Category: MCHANGANYIKO
ETDCO yakamilisha miradi wa njia ya kusafirisha umeme Kilovolt 132 Tabora, Katavi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Tabora Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imekamilisha ujenzi wa laini mpya ya umeme yenye msongo wa kilovolti 132 kutoka mkoani Tabora hadi Katavi. Laini hiyo, yenye urefu wa…