JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Sekta ya mkonge yapaa, wawekezaji watakiwa kuchangamkia fursa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma WATANZANIA na wawekezaji nchini wametakiwa kujitokeza kuchangamkia fursa zinazotokana na zao la mkonge, baada ya kuongezeka kwa mahitaji ya mbegu, mitambo ya usindikaji na bidhaa zinazotokana na zao hilo. Akizungumza kwenye Maonesho ya Wakulima na…

Afya ya udongo muhimu kabla ya kutumia mbolea

Na Mwandishi Wetu, JmahuriMedia, Morogoro Wakulima wameshauriwa kujenga tabia ya kupima afya ya udongo kwa ajili ya kujua aina ya virubutisho vilivyopo kwenye udongo kabla ya kuanza kutumia mbolea. Ofisa Ugani wa Minjingu Mines & Fertilizer Ltd Tanzania, Franks Kamhabwa…

Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka minne

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbozi Mahakama ya Wilaya ya Mbozi imemuhkumu kifungo cha maisha mfanyabiashara Athumani Mohamed Mtimbwa (35) kwa kosa la kumvuta na kumuingiza katika kibanda chake cha biashara na kumbaka mwanafunzi wa darasa la awali mwenye umri wa…

Tanzania kuendelea kuimarisha miundombinu kwa ajili ya nchi zisizo na mlango wa bahari

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imethibitisha dhamira ya kuendeleza miundombinu endelevu na mifumo bora ya usafirishaji kwa Nchi Zisizo na Mlango wa Bahari (LLDCs). Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Uwakala wa Meli nchini (TASAC) Bw. Mohammed…

Amani na utulivu kuelekea uchaguzi mkuu iwe nguzo muhimu

Na Issa Mwadangala- Jeshi la Polisi Wananchi, wachimbaji wa madini na wafanyabiashara Wilaya ya Songwe wametakiwa kuhakikisha wanalinda amani ikiwa ni pamoja na kushiriki katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba 29, 2025 kwa amani, utulivu na kuzingatia sheria za…

PBPA : Kiwango cha uagizaji mafuta nchini kimeongezeka

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umesema idadi ya kampuni zinazoshiriki kwenye mchakato wa uagizaji wa mafuta zimeongezeka kutoka kampuni 33 mwaka 2021 hadi kampuni 73 mwaka 2025 sawa na ongezeko…