Category: MCHANGANYIKO
CCM tunasogeza huduma kwa wananchi sio maneno – Dk Biteko
📌Ahimiza wananchi kupiga kura za kishindo kwa Rais Samia Mgombea wa Ubunge Jimbo la Bukombe, Ndugu Doto Mashaka Biteko amesema kuwa wananchi wanahitaji huduma na maendeleo yanayotokana na utekelezaji wa mipango thabiti na sio kwa maneno yasiyotekelezeka. Dkt. Biteko amesema…
Samia aahidi kuchapa kazi kwa kasi ileile
Na Mwandishi,JamhuriMedia, Uyui Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema akipewa ridhaa ya kuongoza atafanya kazi kwae kasi ilele. Akizungumza wakati wa mkutano wa kampeni katika Kata ya Ilolanghulu wilayani Uyui mkoani Tabora, leo Septemba 11,…
Bashiru ataja sababu tatu CCM kushinda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nzega Katibu Mkuu mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mratibu wa kampeni za mgombea urais kupitia chama hicho, Bashiru Ally,ametaja sababu tatu za chama hicho kushinda uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Amesema chama itaibuka na…
Samia aagiza CCM kuvunja makundi
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media-Uyui Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Samia Suluhu Hassan amewataka wafuasi wa Chama kuvunja makundi mara ili waende kwenye uchaguzi mkuu wakiwa wa moja. Rais ametoa kauli hiyo katika Kijiji cha Ilolangula wilayani Uyui mkoani…
Chumi : Afrika kupatiwa fedha za mabadiliko ya tabia nchi
Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Cosato Chumi amesisitiza kuwa si sawa kwa Afrika kushurutisha nchi zilizoendelea kutoa fedha za mabadiliko ya tabianchi, kwani ni wajibu wao wa msingi katika kulinda…
Mtanzania ateuliwa kuwa meneja wa Bolt Afrika Kusini
Na Mwandishi Wetu MILU Kipimo, raia wa Tanzania, ameteuliwa kuwa Meneja wa Nchi (Country Manager) wa Bolt Business nchini Afrika Kusini (ZA). Kabla ya uteuzi huu, Milu alikuwa Meneja Mkuu wa Bolt kwa Tanzania, Tunisia na Ghana, na sasa anaungana…





