Category: MCHANGANYIKO
Rais Samia amwaga bilioni 45/- kutatua tatizo la maji Jiji la Dodoma
▪️Mradi wa visima 10 Nzuguni A kuzalisha lita 20m kwa siku ▪️Visima zaidi kuchimbwa maeneo ya pembezoni ya Jiji kupunguza Mgao ▪️Waziri Aweso aweka kambi Dodoma kushughulikia suala la Maji ▪️Mbunge Mavunde apongeza jitahada za serikali kutatua kero ya maji…
Serikali kuboresha sekta ya sheria kwa kuajiri maafisa sheria, mawakili na mahakimu
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amesema Serikali inaendelea na jitihada katika kuboresha sekta ya sheria nchini kwa kuajiri Maafisa Sheria, Mawakili wa Serikali pamoja na Mahakimu lengo likiwa ni kuhakikisha huduma bora…
Pwani yaagiza kila Halmashauri kupanda miti milioni 1.5
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani SERIKALI mkoani Pwani umeziagiza Halmashauri zote za Mkoa huo, kuhakikisha zinapanda miti angalau milioni 1.5 kila moja ili kufikia lengo la upandaji miti la mwaka 2024/2025 kwa asilimia 100. Aidha kila shule iwe na kitalu…
Mawakili wasisitizwa kuishauri Serikali kwa weledi
📌Dkt. Biteko asema Serikali inatambua jitihada za Asasi za Kiraia kuhudumia Wananchi 📌Rais Samia apongezwa kwa mageuzi katika huduma za sheria nchini 📌Wawakili wahimizwa kuwa ‘marafiki’wa Mungu badala ya Mahakama 📌Dkt. Biteko ataja mikakati ya Serikali kuboresha huduma za sheria…
TAMWA, TCRA kutoa tuzo za wanahabari za ‘Samia Kalamu Award’
Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) inatarajia kutoa tuzo za wanahabari zinazofahamika kama ‘Samia Kalamu Award’ zinazolenga kuhamasisha uandishi wa habari za maendeleo unaojikita katika kufanya uchambuzi wa utafiti wa…