Category: MCHANGANYIKO
Majaliwa : Tuhakikishe vijana wanapata mafunzo ya ufundi stadi
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa wazazi na walezi kote nchini kuhakikisha wanawapeleka vijana wao kupata mafunzo ya ufundi stadi yanayoratibiwa na Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu ili kuwawezesha kupata ujuzi utakaowasaidia kujiajiri…
Serikali ya Zanzibar yaidhinisha huduma za safari za mtandao
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KATIK hatua ya kihistoria ya kisera, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeidhinisha rasmi uzinduzi wa huduma za usafiri wa mtandaoni visiwani humo, hatua iliyowezesha kampuni ya Bolt kuanza rasmi shughuli zake wiki…
Mwambene, Maro wakabidhiwa vitambulisho vya uandoshi wa habari
Na Mwandishi Wetu – Dar es Salaam Aliyewahi kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene, pamoja na mpiga picha wa zamani wa Rais, Ikulu, Fredrick Maro, wamekabidhiwa rasmi vitambulisho vyao vya Uandishi wa Habari (Presscard) leo tarehe 07…
Rais Samia, Mwinyi wamlilia Ndugai
Rais wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, wametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Spika Mstaafu wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai kilichotokea leo…
Mwanajeshi wa Marekani awafyatulia risasi wenzake kambini
Wanajeshi watano wa Marekani walijeruhiwa baada ya sajenti wa Jeshi la Marekani kufyatua risasi kwenye kambi moja huko Georgia. Kwa mujibu wa maafisa wa kijeshi, baada ya sajenti kwa jina Cornelius Radford kuwafyatulia risasi askari wenzake katika kambi ya Fort…
Luhaga Mpina achaguliwa kuwania urais kwa tiketi ya ACT Wazalendo 2025
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkutano Mkuu Maalum wa Chama cha ACT Wazalendo umefanya uamuzi mkubwa kwa kumchagua rasmi Luhaga Joelson Mpina kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kupitia…