Category: MCHANGANYIKO
TASAF yaagiza viongozi halmashauri kusimamia miradi kwa umakini zaidi
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mkurugenzi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Shadrack Mziray ameagiza viongozi wa Halmashauri ambazo zinatekeleza miradi mbalimbali ya TASAF ikiwemo ujenzi wa zahanati, stendi pamoja na nyumba za wauguzi kusimamia miradi hiyo ili ifanyike…
BoT yatoa angalizo kwa watumiaji fedha za kigeni
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma BENKI Kuu ya Tanzania (BOT)imeendelea kupiga marufuku watoa huduma mbalimbali nchini kufanya malipo ya ndani ya nchi kwa kutumia fedha za kigeni ambapo imesema kufanya hivyo ni kosa kisheria. Uamuzi huo unatokana na matarajio ya mfumuko wa…
Waziri Mkuu afunga mkutano mkuu wa kumi wa wadau wa lishe
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mtambo wa kuchanganya lishe katika vyakula alipotembelea banda la maonesho la Taasisi ya GAIN Tanzania kabla ya kufunga Mkutano Mkuu wa kumiwa Wadau wa Lishe kwenye ukumbi wa Malaika Beach Resort jijini Mwanza, Oktoba 3,…
Dk Tulia ataka ushirikiano na mawazo bunifu kuliendeleza Bara la Afrika na watu wake
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akihutubia kwenye Mkutano wa 53 wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika, amewataka washiriki wa…





