JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Takataka za serikali katika Elimu

 

*Dk. Kawambwa aliamua, sasa anamrushia mzigo Dk. Ndalichako

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, ndiye aliyekuwa Mwenyekiti wa Kikao cha magwiji 14 wa elimu kilichobariki utaratibu mpya wa matumizi ya viwango vya ufaulu katika Mitihani ya Taifa ya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita, uamuzi ulibadilika na kuonekana kama takataka katika jamii.

Dini kuondoa upotoshaji wa kuchinja wanyama

Viongozi wa dini nchini wamekubalina kutoa tafsiri ya kuchinja kwa waumini wao, kuondoa upotoshaji na kurejesha uelewano baina yao.

‘Watanzania tembeleeni hifadhi za taifa’

Watanzania wamehimizwa kujenga mazoea ya kutembelea Hifadhi za Taifa, kujionea vivutio vilivyopo na kujifunza mambo mbalimbali badala ya kusukuma jukumu hilo kwa wageni kutoka nchi za nje pekee.

Masikini Msekwa

*TAKUKURU wajiandaa kumfikisha mahakamani muda wowote

*Anatuhumiwa kuendesha ufisadi wa kutisha Hifadhi ya Ngorongoro

*Dk. Hoseah asema wanakamilisha taratibu, yeye aeleza mshangao

Mtikisiko mkubwa utaikumba nchi muda wowote kuanzia sasa, baada ya kuwapo taarifa kuwa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) inajiandaa kumfikisha mahakamani mwanasiasa mkongwe, Pius Msekwa, kwa tuhuma za ufisadi.

Lissu: Tume ya Katiba ni ulaji

*Asema wanatumbua fedha, watengewa fungu la Ukimwi

Msemaji wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wa Wizara ya Katiba na Sheria, Tundu Lissu, wiki iliyopita aliwasilisha bungeni maoni ya Kambi hiyo, na kueleza namna Tume ya Mabadiliko ya Katiba inavyofuja fedha.

Bunduki zakwamishwa bandarini

*Zimeletwa na Wizara ya Maliasili

*TRA wakomaa wakidai kodi yao

*JWTZ waliliwa wadhibiti majangili

*Tembo kutoweka baada ya miaka 7

Wakati majangili wakielekea kumaliza wanyamapori nchini, Wizara ya Fedha kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imezuia shehena ya bunduki bandarini zilizoagizwa na Wizara ya Maliasili na Utalii kwa ajili ya kuimarisha Kikosi Dhidi ya Ujangili.