Category: Siasa
Kishindo IPTL
*Uongozi wa Bunge wahofia Pinda atajiuzulu
*Wakubwa wavuta milioni 100 hadi bilioni 8
*Jaji Werema, Tibaijuka wapumulia mashine
*Wafadhili wasitisha tirioni 1 hadi kieleweke
Serikali ya Awamu ya Nne chini ya uongozi wa Rais Jakaya Kikwete, kwa mara nyingine imekutana na mtihani mgumu ambako Waziri Mkuu wake, Mizengo Pinda yupo chini ya shinikizo la kujiuzulu kutokana na malipo ya karibu Sh bilioni 400 kwa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).
Madai ya Nyalandu na majibu ya hoja zake
Katika gazeti la Jamhuri la Jumanne Agosti 19 – 25, 2014 ISSN No. 1821-8156 Toleo No. 150, zilichapishwa taarifa potofu zenye kichwa cha habari;
KASHFA IKULU;
· Nyalandu atumia Leseni ya Rais kuua wanyamapori 704 bure,
· Watakaouawa wamo pia tembo 8, chui 8, Simba 8, ndege,
· Wauaji ni Wamarekani marafiki wa Waziri wa Maliasili.
Wakenya waingiza mifugo Hifadhi ya Serengeti
Huu ni mpango mahsusi wa kuharibu utalii wa Tanzania na kuvutia watalii katika mbuga ya Maasai Mara nchini Kenya.
JWTZ kurudi tena DRC
Makamanda wa wapiganaji shupavu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wako mbioni kwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), kuimarisha amani.
Ujio wa Rais Putin balaa
Ulinzi mkali unatarajiwa kuchukua nafasi yake, Rais wa Russia, Vladimir Vladimirovich Putin, atakapozuru Tanzania mapema mwakani kutokana na ‘mbabe’ huyo kuwa na uhasama na Marekani.
Wakati wowote Rais Putin anaposafiri — iwe ndani ya Russia au nje ya nchi — ulinzi wake ni mkali na ulio kamili (almost absolute) kama ule wa Barack Obama wa Marekani.
Kikwete awakoroga wagombea urais
Habari mpya
- TMA yatoa tahadhari ya hali mbaya ya hewa kwa mikoa mitano
- Lazarus Chakwera Rais Mstaafu Malawi awasili nchini kwa ziara ya kikazi
- Waziri Mkuu azindua Sera ya Taifa ya Usimamizi wa Ugavi
- Rais Samia achukua hatua kupunguza matumizi ya mafuta
- Jela miezi sita kwa kuzusha kuibiwa ‘nyeti’ Rukwa
- Rais Samia awaapisha viongozi mbalimbali Ikulu Chamwino Dodoma
- Serikali yasisitiza viwango vya ubora wa kimataifa katika uvuvi
- Bei ya mafuta yashuka duniani
- Serikali yainua utalii tiba kwa wagonjwa wa nje hadi kufikia 3,018
- Waziri Ndejembi akutana na taasisi zilizo chini ya Wizara ya Nishati
- Rais wa Uganda akutana na Rais Mstaafu Dk Kikwete
- Mkenda: Tuzo ya Mwalimu Nyerere kuendeleza Kiswahili
- Marekani na Iran zakubaliana kusitisha mapigano
- Bank of Afrika Tanzania yatoa msaada vituo vya watoto wanaoishi mazingira magumu
- CCM yaweka mezani suluhisho la kitaifa kuwanusuru wananchi