Category: Siasa
Ukawa waigawa nchi
*Wagombe urais watarajiwa Pinda, Lowassa, Membe njia panda
*Marando, Lissu, Dk. Slaa wataka wananchi wapige kura ya maoni
* Kikwete, Prof. Lumumba, Jaji Mtungi wawataka warejee bungeni
Na Mwandishi Wetu
Kuna kila dalili kuwa Tanzania sasa iko njia panda baada ya msimamo usioyumba wa wabunge waliojinasibu kama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kuwa hawarejei kwenye Bunge la Katiba linaloanza leo.
Mengi: Fundisheni watoto kumcha Mungu
Kuwafundisha watoto kumcha Mungu ni dhana nzuri inayowajenga katika maadili ya kuwawezesha kufanikiwa maishani, amesema Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi.
Amefafanua kwamba kumcha Mungu kunamfanya mtoto kuwa mwema, mkweli na mwaminifu, tabia ambazo ni nyenzo muhimu katika kufikia mafanikio ya kiuchumi na kijamii.
“Ni jambo la msingi kwa mzazi kumwandaa mtoto aweze kufanikiwa maishani. Kumfundisha mtoto amweke mbele Mwenyezi Mungu kutamfanya awe mnyenyekevu, mkweli na mwaminifu ili hata akikopa arudishe, maana hakuna anayetaka kufanya biashara na mtu mwongo na anayejivuna,” amesisitiza.
Sakata la Tamisemi lachukua sura mpya
Sakata la Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, kudaiwa kutoa zabuni ya uchapaji wa nyaraka za Serikali kwa Kampuni ya Yuko’s Enterprises Ltd ya mkoani Pwani bila kufuata taratibu limechukua…
JWTZ ngangari
Ofisi ya Waziri Mkuu watumbua fedha dawa za kulevya
Vita dhidi ya dawa za kulevya inakuwa ngumu baada ya watendaji waliokabidhiwa jukumu la kudhibiti biashara hii haramu kuugeuza mradi, mpango wa kutoa matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya.
Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini mpango wa kutoa matibabu kwa watu walioathirika na dawa za kulevya unaojulikana kama Medication Assisted Treatment (MAT) uliopaswa kuanza Agosti, mwaka huu tayari umeanza kuhujumiwa.
JWTZ ngangari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko tayari wakati wowote kupeleka vikosi vyake kulinda amani nchini Sudan Kusini.
- Rais Samia ateta na mzee Joseph Sinde Warioba Ikulu Magogoni
- Watano wafariki, 9 wajeruhiwa Songwe
- Indonesia yaahidi kumaliza msaada wa kukamilisha ukarabati kituo cha mafunzo ya wakulima
- Makamu wa Rais amwakilisha Rais Samia mkutano wa dharura wa SADC
- Waziri Mchengerwa aongoza ujumbe wa Tanzania uzinduzi wa mkutano wa pili wa duniani tiba asili
Habari mpya
- Rais Samia ateta na mzee Joseph Sinde Warioba Ikulu Magogoni
- Watano wafariki, 9 wajeruhiwa Songwe
- Indonesia yaahidi kumaliza msaada wa kukamilisha ukarabati kituo cha mafunzo ya wakulima
- Makamu wa Rais amwakilisha Rais Samia mkutano wa dharura wa SADC
- Waziri Mchengerwa aongoza ujumbe wa Tanzania uzinduzi wa mkutano wa pili wa duniani tiba asili
- Viongozi waliochochea migogoro ya ardhi Lupunga kikaangoni- Kunenge
- Waziri Akwilapo aagiza kuongezwa kwa kasi ya kupanga na kupima ardhi nchini
- Waziri Mkuu awaagiza TANROADS, TARURA kufanya tathmini ya miradi yote
- Ras Samia azungumza na Balozi wa Kenya nchini
- Rais Samia apongeza timu ya uimarishaji mpaka Tanzania na Kenya
- Wanataaluma wajadili athari chanya za AI
- Makamu wa Rais aongoza waombolezaji mazishi ya marehemu Jenista Mhagama
- TMA yapongezwa kwa kuimarisha imani ya Watanzania kupitia taarifa sahihi za hali ya hewa
- Rais Mwinyi ateua ma – RC na Naibu Makatibu Wakuu
- Wanafunzi 40 wateuliwa kuwa mabalozi wa utalii