JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Arusha yazizima

Vifo visivyotarajiwa vya wafanyabiashara maarufu wawili – Henry Nyiti na Nyaga Mawalla – vimeibua hisia tofauti miongoni mwa wakazi wa Arusha na mikoa ya kaskazini kwa jumla. Nyiti alikuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni iliyojihusisha na uchimbaji na uuzaji vifaa vya madini ya Interstate Mining and Mineral,s iliyokuwa na makazi yake mkoani Arusha.

Lwakatare alivyorekodiwa

Taratibu mambo yameanza kuwekwa hadharani, na sasa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinasema Mkurugenzi wao wa Idara ya Ulinzi, Wilfred Lwakatare, alirekodiwa na msaidizi wake, Joseph Ludovick. Hata hivyo, wakati Chadema wakiibua hayo, wanasema wanao ushahidi mzito unaonesha kuwa Ludovick alirubuniwa na Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Mwigulu Nchemba, kufanya uharamia huo.

Lowassa ajiimarisha bungeni

Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa amezidi kujiimarisha kisiasa baada ya kuongeza idadi ya wenyeviti wa Kamati za Kisekta za Bunge wanaomuunga mkono.

Kibanda alivyotekwa

Mfanyakazi wa Kampuni Ikolo Investiment Ltd, Joseph Ludovick (31), aliyekamatwa na Polisi akihusishwa kwenye sakata la utekaji na kujeruhiwa kwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda, anatajwa kuwa ni mtu muhimu katika upelelezi wa tukio hilo.

Haki za wanawake zitambuliwe kwenye Katiba

Haki ya mwanamke ni suala linalohitaji kupewe umuhimu wa kipekee katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Ujasiriamali waajiri vijana 3,000 Arusha

 

Wahitimu zaidi ya 3,000 wa mafunzo ya ujasiriamali katika taasisi ya The Fountain Justice Training College ya jijini Arusha, wameweza kujiajiri na hivyo kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana.