JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: Siasa

Wataja chanzo cha anguko la elimu

 

Mkanganyiko wa matokeo mabaya ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne mwaka jana, yameendelea kuumiza vichwa vya wazazi na wadau wa sekta ya elimu mkoani Mbeya. Wazazi waliozungumza na JAMHURI wanaitupia lawama Serikali kwamba haijasimamia vizuri sekta hiyo, kwani imeruhusu walimu kujifanyia mambo yao pasipo kujali kazi yao ya kufundisha.

UCHAGUZI MKUU KENYA 2013

Ni Raila Odinga

Wananchi wa Kenya jana walipiga kumchagua rais wa nchi hiyo, huku kukiwa na matumaini makubwa kwa Waziri Mkuu Raila Odinga kushinda kiti hicho. Wakenya milioni 14.3 walijiandikisha kupiga kura mwaka jana, ingawa wengi hawakuhakiki taarifa za uandikishaji wao mwezi Januari.

Medeye afichua siri migogoro ya ardhi Arumeru

Mbunge wa Arumeru Magharibi, Gooluck ole Medeye (CCM), ameibuka na kuanika siri ya migogoro ya ardhi katika Wilaya ya Arumeru, mkoani Arusha.

Lissu, Mrema, Mbowe wamsulubu Kikwete

[caption id="attachment_693" align="alignleft"]Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu[/caption]*Wasema nchi imemshinda, watapika nyongo
*Wasema Serikali inaandaa taifa la wajinga

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Freeman Mbowe, Mbunge wa  Singida Mashariki, Tundu Lissu na Mwenyekiti wa Tanzania Labor Party (TLP), Agustino Mrema, wametoa tuhuma nzito kuwa nchi imemshinda Rais Jakaya Kikwete.

Silaa: Nawakilisha vijana CC

Msatahiki Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa, amesema anamshukuru Mungu, Rais Jakaya Kikwete na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM), kwa kumchagua kwa kishindo kuingia katika Kamati Kuu (CC) ya chama hicho.

Mgogoro mpya CCM

*Viongozi waendelea kufitiniana kupata urais, ubunge 2015

*Kinana aonya, akemea wabunge wasiokwenda majimboni

*Aikubali hoja ya Dk. Slaa, ataka wawekezaji feki watimuliwe

*Ataka wagombane kuboresha maisha ya watu si kuingia Ikulu

Mgogoro mpya wenye sura ya kuwania madaraka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama uliotokea mwaka 2007 ukaivunja Serikali, sasa unafukuta upya katika hatua tatu tofauti, JAMHURI imebaini.