Category: Siasa
Ukawa waigawa nchi
*Wagombe urais watarajiwa Pinda, Lowassa, Membe njia panda
*Marando, Lissu, Dk. Slaa wataka wananchi wapige kura ya maoni
* Kikwete, Prof. Lumumba, Jaji Mtungi wawataka warejee bungeni
Na Mwandishi Wetu
Kuna kila dalili kuwa Tanzania sasa iko njia panda baada ya msimamo usioyumba wa wabunge waliojinasibu kama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kuwa hawarejei kwenye Bunge la Katiba linaloanza leo.
Mengi: Fundisheni watoto kumcha Mungu
Kuwafundisha watoto kumcha Mungu ni dhana nzuri inayowajenga katika maadili ya kuwawezesha kufanikiwa maishani, amesema Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni za IPP, Dk. Reginald Mengi.
Amefafanua kwamba kumcha Mungu kunamfanya mtoto kuwa mwema, mkweli na mwaminifu, tabia ambazo ni nyenzo muhimu katika kufikia mafanikio ya kiuchumi na kijamii.
“Ni jambo la msingi kwa mzazi kumwandaa mtoto aweze kufanikiwa maishani. Kumfundisha mtoto amweke mbele Mwenyezi Mungu kutamfanya awe mnyenyekevu, mkweli na mwaminifu ili hata akikopa arudishe, maana hakuna anayetaka kufanya biashara na mtu mwongo na anayejivuna,” amesisitiza.
Sakata la Tamisemi lachukua sura mpya
Sakata la Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini, kudaiwa kutoa zabuni ya uchapaji wa nyaraka za Serikali kwa Kampuni ya Yuko’s Enterprises Ltd ya mkoani Pwani bila kufuata taratibu limechukua…
JWTZ ngangari
Ofisi ya Waziri Mkuu watumbua fedha dawa za kulevya
Vita dhidi ya dawa za kulevya inakuwa ngumu baada ya watendaji waliokabidhiwa jukumu la kudhibiti biashara hii haramu kuugeuza mradi, mpango wa kutoa matibabu kwa waathirika wa dawa za kulevya.
Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini mpango wa kutoa matibabu kwa watu walioathirika na dawa za kulevya unaojulikana kama Medication Assisted Treatment (MAT) uliopaswa kuanza Agosti, mwaka huu tayari umeanza kuhujumiwa.
JWTZ ngangari
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko tayari wakati wowote kupeleka vikosi vyake kulinda amani nchini Sudan Kusini.
- Tanzania imeimarisha maendeleo na haki za kijamii
- Profesa Kairuki akumbukwa Mtanzania wa mwanzo kuanzisha hospitali binafsi
- Museven awasilia jijini Dar es Salaam
- Rais Samia atekeleza ahadi ya wanawake, vijana ndani ya siku 100
- RC Chalamila : Wamachinga achieni njia za kuingia soko la Kariakoo kabla ya Februari 8
Habari mpya
- Tanzania imeimarisha maendeleo na haki za kijamii
- Profesa Kairuki akumbukwa Mtanzania wa mwanzo kuanzisha hospitali binafsi
- Museven awasilia jijini Dar es Salaam
- Rais Samia atekeleza ahadi ya wanawake, vijana ndani ya siku 100
- RC Chalamila : Wamachinga achieni njia za kuingia soko la Kariakoo kabla ya Februari 8
- Rais Samia afanya mabadiliko ya muundo wa wizara na uteuzi wa viongozi
- Serikali yasajili anwani za makazi milioni 12.9
- Dk Nchimbi ashiriki hafla ya kusimikwa kwa uongozi wa makanisa ya kipentekoste Tanzania
- Rais Samia ahitimisha ziara ya kikazi UAE, aimarisha mahusiano na uwekezaji
- Balozi Mwamweta, Mtaka wasaka soko la parachichi Ujerumani
- Shemdoe awataka madiwani kuwa wanyenyekevu kwa wananchi
- Serikali yaipongeza IAA kwa kuongoza mageuzi ya kidigitali na kusukuma utafiti na maendelo
- Wakurugenzi ofisi ya Msajili wa Hazina wapigwa msasa kwa siku tano
- TRA yawataka walipa kodi Morogoro kuuzoea mfumo mpya wa Idras
- Waziri Mkuu achukizwa na migogoro ya ardhi