Category: Siasa
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Siri zavuja Bandari
Kipande abanwa Bandari
TCAA nako kwafukuta ufisadi
*Wakurugenzi wahariri Waraka wa Hazina
*Mbinu hiyo yawafanya walipane mamilioni
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), inakabiliwa na tuhuma za ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.
Mkurugenzi Mkuu wa TCAA, Fadhil Manongi, hadi wiki iliyopita bado alikuwa akiendelea na dhima za kiofisi licha ya muda wake wa kung’atuka kuwadia.
Wakati Manongi akijiandaa kuiacha ofisi hiyo, kumekuwa na malalamiko ya matumizi mabaya ya fedha miongoni mwa wakurugenzi ambao ni washirika wake.
Siku za Kipande bandarini zahesabika
*Ni baada ya kuthibitika anatumia vibaya jina la Rais Kikwete, Ikulu
*Amuagiza Mwakyembe amchunguze, wafuatilia kumtukana Balozi
* Mtawa, Gurumo nao wakana, Mwakyembe adaiwa kumwogopa
*Aendelea kukaidi maagizo ya Bodi, amng’oa rasmi aliyeomba kazi yake
Na Deodatus Balile
Siku za Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania, Mzee Madeni Kipande (58), kuendelea kuwa madarakani zinazidi kuyoyoma baada ya Rais Jakaya Kikwete kukerwa na tabia yake ya kutumia jina la Rais kuhalalisha matendo yake yenye kukiuka sheria za utumishi wa umma.
Habari za uhakika kutoka Ikulu na kwa baadhi ya mawaziri waandamizi, zinasema Rais Kikwete baada ya kupata taarifa za Kipande kutumia vibaya jina lake, alichukia na kuamua kumwita Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, na kumpa maagizo mazito.
- Kafulila: Mabadiliko ya fikra yatabeba uchumi wa dola trilioni moja
- Dk Kahyoza: Kafulila anogesha mjadala wa Vyuo Vikuu kufundisha PPP
- Kwagilwa aishauri TMA kushirikiana na wadau kusambaza taarifa za hali ya hewa kwa wanannchi
- Tanzania, Qatar zafungua fursa mpya sekta ya madini
- TPSF yasifu viongozi wa BoT na TRA kwa utendaji uliotukuka
Habari mpya
- Kafulila: Mabadiliko ya fikra yatabeba uchumi wa dola trilioni moja
- Dk Kahyoza: Kafulila anogesha mjadala wa Vyuo Vikuu kufundisha PPP
- Kwagilwa aishauri TMA kushirikiana na wadau kusambaza taarifa za hali ya hewa kwa wanannchi
- Tanzania, Qatar zafungua fursa mpya sekta ya madini
- TPSF yasifu viongozi wa BoT na TRA kwa utendaji uliotukuka
- MSD kuokoa bilioni 2.3 zilizokuwa zikitumika kukodisha maghala binafsi
- Bei ya Petroli yashuka, Serikali yaweka ruzuku kwenye dizeli
- Makatibu Wakuu EAC wakutana kukamilisha maandalizi ya SCTIFI
- Rais Dkt. Samia awasili Jijini Moscow nchini Urusi
- Dk Dugange : Serikali kuimarisha mtandao wa barabara Newala Mjini
- Rais Samia amteua Ummy Mwalimu kuwa mshauri wa Rais masuala ya afya ya uzazi mama na mtoto
- Kunenge awaagiza wakurugenzi kuacha kuwalea watendaji wanaosababisha migogoro ya ardhi
- Walimu kuoneshana ubabe wa ufundishaji, mamilioni yakisubiri washindi
- Jukwaa la Biashara la Viwango kufanyika Juni 5 Mlimani City
- Tanzania yashiriki kikao cha Kamati ya Utekelezaji wa Viwango vya Kazi, Geneva
Copyright 2025